Kuna tatizo gani kwenye Suala la "Recategorization" kwa watumishi wa Umma?

CHIBA One

JF-Expert Member
Nov 16, 2018
560
2,087
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusiana na hili jambo kwa watumishi wa umma,

Mfano, Mtu amesoma ugavi, kwa level ya diploma, akaenda kusoma Mipango kwa level ya degree, anakuja kuandika barua ya kuomba "Recategorization" kwa mwajiri wake ili kama kuna nafasi pengine halmshauri kwenye idara ya mipango akae pale...kinachotokea ni kwamba kama kuna nafasi kwenye idara basi anaambiwa ataanza na mshahara kama mwajiriwa mpya..Mfano alikuwa ameshapanda daraja mpaka E, au F basi analazimika kuanza upya kwenye level D ya ngazi ya degree, mbona kama ni uonevu? Kwa nn asiendelee na mshahara wake wa awali?

Ndugu yangu mmoja yeye alikuwa mwalimu, akahamia halmashauri kama afisa utamaduni, akaenda kusoma degree ya UTUMISHI, kamaliza wakamuweka kukaimu utumishi kwa kuwa Afisa utumishi alienda kusoma.

Mwisho wa siku wamempa barua ya kurudi shuleni, ama la akae utumishi lakini arudi level D ya mshahara, ukizingatia kabakiza miaka 2 kustaafu.

Wizara husika inabidi liangalie sana hili kwa sababu, inakuwa kama hakuna faida kwa mtumishi wa umma kujiendeleza, kama mtu amefanya kazi miaa 20, anaamua akapate degree yake, akirudi kuomba kubadilishwa cheo anaambiwa utaanza na ngazi ya mshahara wa elimu yako maana yake nini? Kwa nini asiendelee na daraja la mshahara alilonalo?
 
Sababu kubwa ni ni vitu wanavyoita Waraka na Miongozo vinaoandikwa na watu wenye akili ndogo lakini wanakuwa wamepewa mamlaka makubwa kupita uwezo wao, hivyo busara ya kawaida tu kwao ni shida!
Kuna rafkiangu naye pia yamemkuta hayo mambo recategorization.
Yeye alitoka ualimu wa ngazi ya diploma kaenda kusomea degree ya IT, alivorudi kafanikiwa kufanya recategorization tangu mwaka 2012, mpaka leo hajawahi kupandishwa daraja la mshahara!
Ni kila ukifika muda ambao inatkiwa apewe first promotion anaambulia kupewa barua inayomuonyesha kuwa ndio anaanza kutumikia upya kada yake mpya ya IT!
Kwa kigezo hicho anatakiwa akae tena kusubiri hadi miaka 4 ndipo apande daraja! Akiandika barua kulalamikia suala hilo kwa mkurugenzi wake, mkurugenzi anaelekeza barua irudi kwa HRO, kufika huko HRO anaenda kumdanganya kuwa daraja lako litapanda mwakani, lakini ukifika muda huo anaambiwa wewe kwanza kasubiri muda wa miaka 4 ufike!
Hapo ana madeni ya benk na madeni ya HESLB na huku home wife hana kazi na watoto wanasoma, aisee hili suala lisipopatiwa ufumbuzi litauwa watu na msongo wa mawazo!
 
Sababu kubwa ni ni vitu wanavyoita Waraka na Miongozo vinaoandikwa na watu wenye akili ndogo lakini wanakuwa wamepewa mamlaka makubwa kupita uwezo wao, hivyo busara ya kawaida tu kwao ni shida!
Kuna rafkiangu naye pia yamemkuta hayo mambo recategorization.
Yeye alitoka ualimu wa ngazi ya diploma kaenda kusomea degree ya IT, alivorudi kafanikiwa kufanya recategorization tangu mwaka 2012, mpaka leo hajawahi kupandishwa daraja la mshahara!
Ni kila ukifika muda ambao inatkiwa apewe first promotion anaambulia kupewa barua inayomuonyesha kuwa ndio anaanza kutumikia upya kada yake mpya ya IT!
Kwa kigezo hicho anatakiwa akae tena kusubiri hadi miaka 4 ndipo apande daraja! Akiandika barua kulalamikia suala hilo kwa mkurugenzi wake, mkurugenzi anaelekeza barua irudi kwa HRO, kufika huko HRO anaenda kumdanganya kuwa daraja lako litapanda mwakani, lakini ukifika muda huo anaambiwa wewe kwanza kasubiri muda wa miaka 4 ufike!
Hapo ana madeni ya benk na madeni ya HESLB na huku home wife hana kazi na watoto wanasoma, aisee hili suala lisipopatiwa ufumbuzi litauwa watu na msongo wa mawazo!
Mtu wa IT kama akiwa vizuri hakuwa na haja ya kuhangaika na mishahara kwa sasa...

Anyway tumpe pole kwa yaliyo mkuta ila ajiongeze!
 
recategorization "kuhama/kubadilishiwa muundo wa utumishi wa Umma
1. kwenye utumishi wa umma kila kada ina muundo wake. mfano walimu wana miundo yao, wahasibu wana miundo yao, wauguzi etc. na ndani ya kada husika kila ngazi ya elimu ina muundo wake, mfano muuguzi ngazi ya cheti ana muundo wake, Muuguzi ngazi ya diploma ana muundo wake na muuguzi ngazi ya degree ana muundo wake.
2. kuhama kada moja kwenda nyingine kwenye utumishi wa Umma mfano MWALIMU kuwa MWANASHERIA inachukuliwa kama ajira mpya hivyo utapaswa kupata mshahara wa kazi mpya as a beginner. so kabla hujafanya uamuzi wa kuhama kada jiridhishe kwanza kwenye masuala yafuatayo:
i. uwepo wa nafasi wazi kwenye idara unayohamia
ii. mshahara wako wa wakati huo ni mdogo kuliko mshahara wa kazi mpya?
iii. umri wako unaruhusu (kama utakubali mshahara mdogo wa kazi mpya huku ukifocus kwenye future benefits)
3. mwisho nawaasa kutokurupuka kabla ya kufanya maamuzi ya kujiendeleza kitaaluma/kuhama kada, mtaishia kugugumia kwa maumivu
 
recategorization "kuhama/kubadilishiwa muundo wa utumishi wa Umma
1. kwenye utumishi wa umma kila kada ina muundo wake. mfano walimu wana miundo yao, wahasibu wana miundo yao, wauguzi etc. na ndani ya kada husika kila ngazi ya elimu ina muundo wake, mfano muuguzi ngazi ya cheti ana muundo wake, Muuguzi ngazi ya diploma ana muundo wake na muuguzi ngazi ya degree ana muundo wake.
2. kuhama kada moja kwenda nyingine kwenye utumishi wa Umma mfano MWALIMU kuwa MWANASHERIA inachukuliwa kama ajira mpya hivyo utapaswa kupata mshahara wa kazi mpya as a beginner. so kabla hujafanya uamuzi wa kuhama kada jiridhishe kwanza kwenye masuala yafuatayo:
i. uwepo wa nafasi wazi kwenye idara unayohamia
ii. mshahara wako wa wakati huo ni mdogo kuliko mshahara wa kazi mpya?
iii. umri wako unaruhusu (kama utakubali mshahara mdogo wa kazi mpya huku ukifocus kwenye future benefits)
3. mwisho nawaasa kutokurupuka kabla ya kufanya maamuzi ya kujiendeleza kitaaluma/kuhama kada, mtaishia kugugumia kwa maumivu
Kwa yule Mwalimu hayo mambo ya miundo na kila kitu viko sawa! Pia kule kukubaliwa kufanyiwa recategorization mana yake kulikuwa na nafasi wazi au uhitaji wa yeye!
Shida ni kule kupewa barua zinazojirudia rudia kila wakati badala ya kupewa first promotion!
Fikiria alipewa barua ya kuanza kutumikia rasmi kada ya IT mwaka uleule wa 2012, ambapo kupanda daraja alitakiwa kusubiri mpaka 2016, lakini ilipofika 2016, kapewa barua inayofuta ile barua ya awali na kuelekeza ndio anaanza upya kutumikia kada ya IT.
'Jamaa akapoa akijua 2020 atapewa firs promotion, lakini kufika 2019 akapewa barua nyingine inayofuta ile ya mwaka 2016 na kueleza kuwa ndio anaanza kutumikia kada ya IT, na hivyo anatakiwa akae tena mpaka mwaka 2023 ndipo ajue daraja jipya!
Hivyo mwaka huu serikali ilipotoa kibali kajaribu kufuatilia na kupeleka malalamiko lakini kaambiwa muda bado mpaka akae miaka 4 tangu kupewa barua ya mwisho!
Ukilifuatilia hilo suala utagundua kuwa kuna ubabaishaji flani huwa unafanywa na ofisi za utumishi na Tamisemi, maana akiwafuata utumishi, wanatupia mpira Tamisemi!
 
recategorization "kuhama/kubadilishiwa muundo wa utumishi wa Umma
1. kwenye utumishi wa umma kila kada ina muundo wake. mfano walimu wana miundo yao, wahasibu wana miundo yao, wauguzi etc. na ndani ya kada husika kila ngazi ya elimu ina muundo wake, mfano muuguzi ngazi ya cheti ana muundo wake, Muuguzi ngazi ya diploma ana muundo wake na muuguzi ngazi ya degree ana muundo wake.
2. kuhama kada moja kwenda nyingine kwenye utumishi wa Umma mfano MWALIMU kuwa MWANASHERIA inachukuliwa kama ajira mpya hivyo utapaswa kupata mshahara wa kazi mpya as a beginner. so kabla hujafanya uamuzi wa kuhama kada jiridhishe kwanza kwenye masuala yafuatayo:
i. uwepo wa nafasi wazi kwenye idara unayohamia
ii. mshahara wako wa wakati huo ni mdogo kuliko mshahara wa kazi mpya?
iii. umri wako unaruhusu (kama utakubali mshahara mdogo wa kazi mpya huku ukifocus kwenye future benefits)
3. mwisho nawaasa kutokurupuka kabla ya kufanya maamuzi ya kujiendeleza kitaaluma/kuhama kada, mtaishia kugugumia kwa maumivu
Umedadavua kitaalam kabisa, safi sana!
 
Kwa yule Mwalimu hayo mambo ya miundo na kila kitu viko sawa! Pia kule kukubaliwa kufanyiwa recategorization mana yake kulikuwa na nafasi wazi au uhitaji wa yeye!
Shida ni kule kupewa barua zinazojirudia rudia kila wakati badala ya kupewa first promotion!
Fikiria alipewa barua ya kuanza kutumikia rasmi kada ya IT mwaka uleule wa 2012, ambapo kupanda daraja alitakiwa kusubiri mpaka 2016, lakini ilipofika 2016, kapewa barua inayofuta ile barua ya awali na kuelekeza ndio anaanza upya kutumikia kada ya IT.
'Jamaa akapoa akijua 2020 atapewa firs promotion, lakini kufika 2019 akapewa barua nyingine inayofuta ile ya mwaka 2016 na kueleza kuwa ndio anaanza kutumikia kada ya IT, na hivyo anatakiwa akae tena mpaka mwaka 2023 ndipo ajue daraja jipya!
Hivyo mwaka huu serikali ilipotoa kibali kajaribu kufuatilia na kupeleka malalamiko lakini kaambiwa muda bado mpaka akae miaka 4 tangu kupewa barua ya mwisho!
Ukilifuatilia hilo suala utagundua kuwa kuna ubabaishaji flani huwa unafanywa na ofisi za utumishi na Tamisemi, maana akiwafuata utumishi, wanatupia mpira Tamisemi!
Mmmmh hapo kuna tatizo. Haiko sawa hiyo
 
Mmmmh hapo kuna tatizo. Haiko sawa hiyo
Kujiendeleza ni kupoteza muda yaani ni faida kwa ngazi ya cheti cha awali nabordinary lakin keabwaliibgia na diplomatik na degree hamna haja ya kujiendeleza ni kupoteza rasilimali fedha na muda tu no any advantage and on this i May say is only brain boosting not boosting economy interest.
 
Kwa yule Mwalimu hayo mambo ya miundo na kila kitu viko sawa! Pia kule kukubaliwa kufanyiwa recategorization mana yake kulikuwa na nafasi wazi au uhitaji wa yeye!
Shida ni kule kupewa barua zinazojirudia rudia kila wakati badala ya kupewa first promotion!
Fikiria alipewa barua ya kuanza kutumikia rasmi kada ya IT mwaka uleule wa 2012, ambapo kupanda daraja alitakiwa kusubiri mpaka 2016, lakini ilipofika 2016, kapewa barua inayofuta ile barua ya awali na kuelekeza ndio anaanza upya kutumikia kada ya IT.
'Jamaa akapoa akijua 2020 atapewa firs promotion, lakini kufika 2019 akapewa barua nyingine inayofuta ile ya mwaka 2016 na kueleza kuwa ndio anaanza kutumikia kada ya IT, na hivyo anatakiwa akae tena mpaka mwaka 2023 ndipo ajue daraja jipya!
Hivyo mwaka huu serikali ilipotoa kibali kajaribu kufuatilia na kupeleka malalamiko lakini kaambiwa muda bado mpaka akae miaka 4 tangu kupewa barua ya mwisho!
Ukilifuatilia hilo suala utagundua kuwa kuna ubabaishaji flani huwa unafanywa na ofisi za utumishi na Tamisemi, maana akiwafuata utumishi, wanatupia mpira Tamisemi!
Inawezekana kama alikuwa ameshapanda madaraja mengi lazima achelewe, mfano alikuwa daraja G, akaenda IT na kuanza na daraja D, ataendelea nayo na baada ya miaka 3 ataenda E, baada ya miaka 3 tena F, halafu tena atumikie G ndo aanze kupanda kama kawaida, kosa ni lake kuchelewa kusoma au angeendelea na taaluma yake ya awali
 
recategorization "kuhama/kubadilishiwa muundo wa utumishi wa Umma
1. kwenye utumishi wa umma kila kada ina muundo wake. mfano walimu wana miundo yao, wahasibu wana miundo yao, wauguzi etc. na ndani ya kada husika kila ngazi ya elimu ina muundo wake, mfano muuguzi ngazi ya cheti ana muundo wake, Muuguzi ngazi ya diploma ana muundo wake na muuguzi ngazi ya degree ana muundo wake.
2. kuhama kada moja kwenda nyingine kwenye utumishi wa Umma mfano MWALIMU kuwa MWANASHERIA inachukuliwa kama ajira mpya hivyo utapaswa kupata mshahara wa kazi mpya as a beginner. so kabla hujafanya uamuzi wa kuhama kada jiridhishe kwanza kwenye masuala yafuatayo:
i. uwepo wa nafasi wazi kwenye idara unayohamia
ii. mshahara wako wa wakati huo ni mdogo kuliko mshahara wa kazi mpya?
iii. umri wako unaruhusu (kama utakubali mshahara mdogo wa kazi mpya huku ukifocus kwenye future benefits)
3. mwisho nawaasa kutokurupuka kabla ya kufanya maamuzi ya kujiendeleza kitaaluma/kuhama kada, mtaishia kugugumia kwa maumivu
Lazima unang'ate panga mzee kama hujui rules za Career advancement and development
 
Inawezekana kama alikuwa ameshapanda madaraja mengi lazima achelewe, mfano alikuwa daraja G, akaenda IT na kuanza na daraja D, ataendelea nayo na baada ya miaka 3 ataenda E, baada ya miaka 3 tena F, halafu tena atumikie G ndo aanze kupanda kama kawaida, kosa ni lake kuchelewa kusoma au angeendelea na taaluma yake ya awali
Hakuwa daraja G alikuwa E, na hilo daraja E ndilo la kuingilia kada ya IT mwenye shahada!
 
recategorization "kuhama/kubadilishiwa muundo wa utumishi wa Umma
1. kwenye utumishi wa umma kila kada ina muundo wake. mfano walimu wana miundo yao, wahasibu wana miundo yao, wauguzi etc. na ndani ya kada husika kila ngazi ya elimu ina muundo wake, mfano muuguzi ngazi ya cheti ana muundo wake, Muuguzi ngazi ya diploma ana muundo wake na muuguzi ngazi ya degree ana muundo wake.
2. kuhama kada moja kwenda nyingine kwenye utumishi wa Umma mfano MWALIMU kuwa MWANASHERIA inachukuliwa kama ajira mpya hivyo utapaswa kupata mshahara wa kazi mpya as a beginner. so kabla hujafanya uamuzi wa kuhama kada jiridhishe kwanza kwenye masuala yafuatayo:
i. uwepo wa nafasi wazi kwenye idara unayohamia
ii. mshahara wako wa wakati huo ni mdogo kuliko mshahara wa kazi mpya?
iii. umri wako unaruhusu (kama utakubali mshahara mdogo wa kazi mpya huku ukifocus kwenye future benefits)
3. mwisho nawaasa kutokurupuka kabla ya kufanya maamuzi ya kujiendeleza kitaaluma/kuhama kada, mtaishia kugugumia kwa maumivu
Mimi nimeajiliwa as mwalimu ila nimesoma sheria nimeamua kubaki kwenye ualimu na sheeria nimefungua ofisi yangu
 
Chukulia wewe ni muuguzi ukaenda kusoma digrii ya umeme ukaomba ubadilishiwe kazi kutoka muuguzi kwenda kuwa injinia wa umeme hiyo ni ajira mpya lazima uanzie mshahara chini unapoanzia mtu mwenye degree
 
Me nina uhakika hizo pesa ambazo anapaswa kulipwa then wanajilipa wao kwa kipindi chote anachozungushwa,calculate kwa idadi ya watu 100 wenye scenario kama hiyo ndo utagundua kuna watu wanakula jasho la watu wengine bila hata kutegemea mishahara yao binafsi
Sababu kubwa ni ni vitu wanavyoita Waraka na Miongozo vinaoandikwa na watu wenye akili ndogo lakini wanakuwa wamepewa mamlaka makubwa kupita uwezo wao, hivyo busara ya kawaida tu kwao ni shida!
Kuna rafkiangu naye pia yamemkuta hayo mambo recategorization.
Yeye alitoka ualimu wa ngazi ya diploma kaenda kusomea degree ya IT, alivorudi kafanikiwa kufanya recategorization tangu mwaka 2012, mpaka leo hajawahi kupandishwa daraja la mshahara!
Ni kila ukifika muda ambao inatkiwa apewe first promotion anaambulia kupewa barua inayomuonyesha kuwa ndio anaanza kutumikia upya kada yake mpya ya IT!
Kwa kigezo hicho anatakiwa akae tena kusubiri hadi miaka 4 ndipo apande daraja! Akiandika barua kulalamikia suala hilo kwa mkurugenzi wake, mkurugenzi anaelekeza barua irudi kwa HRO, kufika huko HRO anaenda kumdanganya kuwa daraja lako litapanda mwakani, lakini ukifika muda huo anaambiwa wewe kwanza kasubiri muda wa miaka 4 ufike!
Hapo ana madeni ya benk na madeni ya HESLB na huku home wife hana kazi na watoto wanasoma, aisee hili suala lisipopatiwa ufumbuzi litauwa watu na msongo wa mawazo!
 
Back
Top Bottom