Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,911
Ndio maana hayo yakutuma dawa mtu na kwenda kuchukua dawa mbali na anapoishi yanaendelea. Mtu kuweka wazi afya yake anahofu kunyanyapaliwa.Wewe unachukulia wapi!?
Sent using Jamii Forums mobile app