GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Sijajua kwa Mikoa mingine bali kwa Mkoa niliopo wa ‘ Wajanja ‘ na ambao Mimi GENTAMYCINE ndiyo nasema Mji Mkuu wa Tanzania (na siyo Dodoma ) kuna ‘ Kajitabia ‘ ka Kipuuzi nimeanza Kukaona na naona kanaanza Kuota Mizizi ambapo utakuta Muathirika wa VVU/ UKIMWI anaishi Mbagala lakini cha Kushangaza anaenda Kuchukua Dawa zake (ARV) Hospitali ya Bunju.
Kama haitoshi kuna ‘ Kajitabia ‘ kengine ka Kipuuzi ambapo utakuwa Waathirika hao hao wa VVU/ UKIMWI wakienda Kuchukua hizo Dawa zao za (ARV) wakifika katika Hospitali wanacheza Dili na Manesi ambapo Wao huwa hawaingii ndani Kuzichukua bali huwaagiza hao Manesi wawachukulie na wanaweletea nje na ‘ Kusepa ‘ zao mazima.
Je, tabia hii ina faida gani hasa katika vita dhidi ya Maambukizi haya ya VVU/ UKIMWI kwa Tanzania na Kizazi chake?
Kama haitoshi kuna ‘ Kajitabia ‘ kengine ka Kipuuzi ambapo utakuwa Waathirika hao hao wa VVU/ UKIMWI wakienda Kuchukua hizo Dawa zao za (ARV) wakifika katika Hospitali wanacheza Dili na Manesi ambapo Wao huwa hawaingii ndani Kuzichukua bali huwaagiza hao Manesi wawachukulie na wanaweletea nje na ‘ Kusepa ‘ zao mazima.
Je, tabia hii ina faida gani hasa katika vita dhidi ya Maambukizi haya ya VVU/ UKIMWI kwa Tanzania na Kizazi chake?