kiumbempole
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 551
- 905
Maalim?
Mbona nyama kidogo Sky EclatTegeni masikio lakini habari si nzuri.
Unakimbilia wp!?πββοΈπββοΈπββοΈ
ila hii nchi drama mingi sana...juzi tuu paula,hatujakaa vzri,tegeni masikio.yaani ukilala nchale,ukisimama nchale...assalaam alykum TANZANIA...ππππ
Corona ipo na inaua.Yani akiba chief mangungo hawaishi Tz..... Tunaendelea kufanywa wajinga. Wengine wanatembea na mafreezer...
Kabisa mkuu....Corona ipo na inaua.
Usiamini kauli za kipumbavu za wanasiasa. Ulinzi wa afya yako ni jukumu lako.
Naunga mkono hojaCorona ipo na inaua.
Usiamini kauli za kipumbavu za wanasiasa. Ulinzi wa afya yako ni jukumu lako.