Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 298
ndo maana waga nashangaa kuna mdada kaolewa huu mwaka wa pili sasa , ujue kama mwanamke anaingia kwenye ovulation each month possibility ya kupata ujauzito ni kubwa ,,asa huyu bidada naona mumewe ana MACHINE GUN AK47 manake naona kizazi chake kimesukumwa hadi mgongoni , sababu anaingia kwenye ovulation kila mwezi lakini mimba kushney , dah wanaume sijui wanalifahamu hili ama wanafikiria tu ugumba , dah