Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Kuna wingi wa watu maarufu hapa Tanzania wamepata dili za kufanya matangazo ya bidhaa mbalimbali hapa nchini mfano vilevi, soda, sabuni nk.
Je wewe kuna “star” yeyote umewahi kumuona akitangaza bidhaa yeyote kwenye ukarasa wa mtandao wa kijamii au media yeyote ukashawishiwa kununua hiyo bidhaa.
Je wewe kuna “star” yeyote umewahi kumuona akitangaza bidhaa yeyote kwenye ukarasa wa mtandao wa kijamii au media yeyote ukashawishiwa kununua hiyo bidhaa.