Kuna Siri gani ya Lonely man na Gay Kufanya mambo makubwa.

Watu wengi wenye akili kubwa wanaofanya mambo makubwa creative genius hawa...huwa ni wagonjwa wa Autism inayowafanya ubongo wao ufikirie kitu kimoja tu kwa kina..kama ni mathematics basi mathematics tu...kama ni art ishu basi in art ishu tu. na kublock zile emotional feeling za kusocialize na jamii ndio maana wao wako kinyume na sisi..wao kinachowapa mshindo (orgasm) ni ile "Eureka moment " au Wow moment baada ya kugundua kitu na sio utamu wa mwajuma ndala ndefu.. Nop!

Unajua kwamba baada ya Albert Einstein genius wa mathematics, astrophysics of all time...inaaminika itaichukua mamilion ya miaka kumpata wa Kariba yake ..huyu bwana wakati anakufa kwenye kitanda kuna Dr aliuba ubongo wake na akaufanyia tafiti hadi akagundua jamaa ubongo wake ilikuwa tofauti Sana na binadamu wengine maana ulikuwa na gap Kwenye sana kwenye emotional and cognitive part of the brain na kutoa space kubwa Kwenye sehemu nyingine ndio maana akawa genius kwenye field yake ya sayansi.

Ndio maana hata shuleni kuna wale maprofesa magenius wale ni kawaida kukuta suruali imeruka ruksi moja then mwenyewe unakuta hana wasiwasi karelax tu, sometimes amechomekea dhati kwenye bukta ya ndani na hana wasiwasi. They don't fight in our social world sababu wana Dunia yao inayowafurahisha zaidi wakigundua kitu kipya na sio kupata demu mpya mkali maana emotional feeling ya orgam via sex iko blocked. Kisaikolojia wao ni introvert na sio extrovert kama sisi akilia kawaida tulio wengi.

Creative genius wengi hawakuoa wala kuzaa wala kuwa na pro social behavior.

Pitia hapa kufahamu zaidi tabia za magenius Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli
Utamu wa mwajuma ndala ndefu
 
My Take...

Ni kweli ukichambua sana baadhi ya binadamu waliogundulika kuwa na uwezo mkubwa wa kiakili(IQ) na wavumbuzi wa masuala mengi ya kisayansi walikuwa Either lonely ama Homosexuals ila sio wote,... kwa mfano Mark Zuckerberg sio Homosexual

Mimi nafikiri ni kwa sababu ya kujikita kwenye kitu kimoja (overspecializing) na pia kama alivyosema HUMBLE AFRICAN inachangiwa na mfumo wa ubongo, autism (usonji)... hii inafanya ubongo wa mtu kupoteza interest kwa vitu vingi vya kijamii

Homosexuality kwa kweli siwez changia bado nataka ni-comment kwa utafiti ila kuna THEORY nilisikia kwamba APPLE co... Board Yao inaongozwa na mostly gays na ndo maana wameweza kufanikiwa (Still a theory, i have no evidence here)
 
Sijapenda sana kuchangia kwenye suala la Homosexuality kwa sababu naamini kwamba kuna 'Propaganda ya ku-promote Homosexuality' na inafanyika na the westerners

Ukiangalia nyimbo nyingi za UK... wengi wanajaribu kuulazimisha utamaduni wa kishoga kwenye jamii zetu kupitia sanaa zao za Uigizaji (Series n' Movies na Pia Muziki)

Na sio homosexual wote wenye akili nafikiri hii nadharia inaweza kudadavuliwa vizuri ila kwa sasa sina evidence wacha nikae kimya
 
My Take...

Ni kweli ukichambua sana baadhi ya binadamu waliogundulika kuwa na uwezo mkubwa wa kiakili(IQ) na wavumbuzi wa masuala mengi ya kisayansi walikuwa Either lonely ama Homosexuals ila sio wote,... kwa mfano Mark Zuckerberg sio Homosexual

Mimi nafikiri ni kwa sababu ya kujikita kwenye kitu kimoja (overspecializing) na pia kama alivyosema HUMBLE AFRICAN inachangiwa na mfumo wa ubongo, autism (usonji)... hii inafanya ubongo wa mtu kupoteza interest kwa vitu vingi vya kijamii

Homosexuality kwa kweli siwez changia bado nataka ni-comment kwa utafiti ila kuna THEORY nilisikia kwamba APPLE co... Board Yao inaongozwa na mostly gays na ndo maana wameweza kufanikiwa (Still a theory, i have no evidence here)
Kufanikiwa hakuhitaji feelings, ni determination na innovation, mbona huku gays tunao na ni mataburarasa wakutupwa hawajui hata kuinoveti wala chochote, so success sio stereotype ya personal hormones, check Newton, Galileo, Tesla, hawakuwa na mda na social ties walikuwa bize kuformulate na kuandika patents na journals, ukiwa na familia hivi vitu vina slowdown
 
Kufanikiwa hakuhitaji feelings, ni determination na innovation, mbona huku gays tunao na ni mataburarasa wakutupwa hawajui hata kuinoveti wala chochote, so success sio stereotype ya personal hormones, check Newton, Galileo, Tesla, hawakuwa na mda na social ties walikuwa bize kuformulate na kuandika patents na journals, ukiwa na familia hivi vitu vina slowdown
Kweli mkuu

Ndo maana nimeweka comment ya pili kuonyesha si kweli kwamba homosexuality iko linked kwenye IQ,..

nimezungumzia hawa watu kuwa 'overspecialized' kwa kitu kimoja na kupoteza 'social ties',.. ila all in all nafikiri unachozungumzia kipo sawia na nilichozungumzia
 
Huu uzi umejaa negative.

Kwani yule kiumbe anaitwa james ana mafanikio gani na amefanya nini kikubwa duniani?
Au kuna watu wangapi wa aina ya yule kiumbe ambao wamefanya makubwa mpaka uje na conclusion mbovu namna hiyo iliyokosa mashiko?

Sio kila mtu ana mawazo ya ngono kama yako na binadamu hawafanani.
Waafrika 24hours mnawaza ngono mbona hakuna kikubwa mlichovumbua?

Hiyo negative mind yako baki nayo na sio unatukana watu na kazi zao kubwa walizojitolea kwenu kwa maarifa yao makubwa.

Waafrika tuna mawazo mabovu na ya ajabu sana.
 
Wabongo katika ubora wetu

Ila mimi nina amini hapa duniani tunaishi na watu ambao si wa kawaida,yaani wenye uwezo wa ajabu
Yaani kuna watu wanafanya mambo hadi mtu unajiuliza " huyu jamaa alikuwa anawaza nini!?!"
 
Many of the genius men are sponsored by Lucifer himself, they work for him,

wapo busy kujenga hoja za kupotosha ulimwengu ili mkuu wao Lucifer atawale kirahisi, wanatumia sayansi na falsafa ili kuleta mageuzi duniani ambayo ni hasi au chanya.
they are luciferians
huu ni uongo usio na tija, katika viumbe alowaumba mungu na akawafadhilisha basi ni binadam bt hawa binadam huonewa wivu sana na mashetani na washirika wao ndo maana watu wote waliobarikiwa na mungu hupitia masaibu mazito sana kutokana na wivu wa mashetani na washirika wao.
 
Wabongo katika ubora wetu

Ila mimi nina amini hapa duniani tunaishi na watu ambao si wa kawaida,yaani wenye uwezo wa ajabu
Yaani kuna watu wanafanya mambo hadi mtu unajiuliza " huyu jamaa alikuwa anawaza nini!?!"
hata wewe unaweza kufanya zaidi ya... ikiwa utaitumikisha akili yako vizuri, watu wote ni wa kawaida kama wewe bt wenye wachache wanaolitumikia kusudi la kuumbwa kwao ndo hao hua tunawaona wa ajabu akati ni wakawaida hata wewe unaweza kua zaidi yao
 
Lakini kwa nini kwetu huku Africa mambo ni tofauti ina maana hatujatambua bado huo uwezo tulio nao?
 
Lakini kwa nini kwetu huku Africa mambo ni tofauti ina maana hatujatambua bado huo uwezo tulio nao?
Lakini kwa nini kwetu huku Africa mambo ni tofauti ina maana hatujatambua bado huo uwezo tulio nao?
huo uwezo tunao na tuna utambua, changamoto kubwa ni zifuatazo:
1.mifumo yetu ya elimu ya kiafrika inatujenga tuiheshim elim na sio chanzo cha elimu (akili)

2. serikali za kiafrika hazijawekeza katika ubunifu na ugunduzi vitu ambavyo vinayafanya mataifa makubwa kuwa the great

3.waafrika wengi wenye upeo mkubwa wa akili huandamwa na mambo ya kishirikina kitu ambacho hupelekea kuharibikiwa ndoto zao

nb: ikiwa serikali za kiafrika zitaweza kufanyia kazi changamoto no 1 na 2 itakua rahisi sana kujikwamua maana wenzetu wana msemo wao wanasema " kila kitu huzalishwa na fikra bt fikra hizi zinahitaji kuendelezwa"
 
huo uwezo tunao na tuna utambua, changamoto kubwa ni zifuatazo:
1.mifumo yetu ya elimu ya kiafrika inatujenga tuiheshim elim na sio chanzo cha elimu (akili)

2. serikali za kiafrika hazijawekeza katika ubunifu na ugunduzi vitu ambavyo vinayafanya mataifa makubwa kuwa the great

3.waafrika wengi wenye upeo mkubwa wa akili huandamwa na mambo ya kishirikina kitu ambacho hupelekea kuharibikiwa ndoto zao

nb: ikiwa serikali za kiafrika zitaweza kufanyia kazi changamoto no 1 na 2 itakua rahisi sana kujikwamua maana wenzetu wana msemo wao wanasema " kila kitu huzalishwa na fikra bt fikra hizi zinahitaji kuendelezwa"
Kuna shirika la usafirishaji hapa hapa kwetu Tanzania lilikuwa na mradi wa ukarabati wa vichwa vya treni (Remanufacturing). Sasa ilitokea changamoto fulani katika kuunganisha injini (Diesel Engine) na Jenereta (Diesel Engine to Main Generator deflection) ikabidi hiyo kampuni kumuhitaji msaada toka kiwanda ilichonunua hizo injini.

Akaja mzungu toka huko Marekani katika kampuni ya GENERAL ELECTRIC TRANSPORT DIVISION (GE) uwezi amini alishindwa hili Jambo ni kweli na si uzushi.

Ila kwa busara alizojaaliwa aliomba kutoka katika uongozi wa hilo shirika kushare idea na wataalamu waliowahi fanya shughuli kama hizo, akapewa wa 3 na wakafanya kazi yeye akiwa anatazama baada ya kazi kumalizika akaenda katika uongozi kuwaambia mbona mna watu walio deep sana kisha alirudi kwao Marekani.

Ila hao wahusika mpaka leo hakuna anayewajali.. Ndiyo maana niliuza swali lile kwako. Nashukuru Sana kwa majibu uliyonipatia.
 
Katika watu uliowaongelea ni mmoja tu mwenye hadhi ya kuongelewa NICOLA TESLA..Hao wengine ni disgrace kabisa.

Labda niseme kidogo kwamba kadiri kiungo flani katika mwili ukawa unakitumia mara nyingi efficiency yake inaongezeka Sana.
Kwa hio aliewekeza Sana kwenye matumizi ya ubongo wake lazima efficiency ya ubongo wake iongezeke,,sio kusema 'eti shoga ana high iq'' Ushoga ni ugonjwa unaoleta magonjwa mengine...Na Kama Tesla angekuwa mpunga sidhani Kama angekuwa mbunifu labda angebakia kutafuta therapy ya kumpunguzia mawasho vitabuni na asingepata mda wa ugunduzi wowote.

Mtu Kama matis kàzi yake ni ukuta na kujamba Jamba tu.
 
Katika watu uliowaongelea ni mmoja tu mwenye hadhi ya kuongelewa NICOLA TESLA..Hao wengine ni disgrace kabisa.

Labda niseme kidogo kwamba kadiri kiungo flani katika mwili ukawa unakitumia mara nyingi efficiency yake inaongezeka Sana.
Kwa hio aliewekeza Sana kwenye matumizi ya ubongo wake lazima efficiency ya ubongo wake iongezeke,,sio kusema 'eti shoga ana high iq'' Ushoga ni ugonjwa unaoleta magonjwa mengine...Na Kama Tesla angekuwa mpunga sidhani Kama angekuwa mbunifu labda angebakia kutafuta therapy ya kumpunguzia mawasho vitabuni na asingepata mda wa ugunduzi wowote.

Mtu Kama matis kàzi yake ni ukuta na kujamba Jamba tu.
right, akili hufanya kazi kadri inavyotumikishwa, mfano mdogo tu ukiwa na project yeyote inayohitaji matumizi ya akili zaidi utagundua namna ubongo unavyozalisha mawazo mapya kulingana na unavyotumikishwa
 
Jinsi unavuokuwa na majukumu ndio jinsi uwezo wa kuwa na mahusiano unapungua.. Mfano angalia vipanga wengi waliokuwa wanakimbiza darasani unakuta hawakuwa watu wa Ku entertain sex kama wale ambao walionekana kuwa vilaza
Nikola Tesla anasema Energy ni kitu kinachopaswa kupatikana Dunia na kuwa transferred wireless anauunda mnara mkubwa huko New york kwa ajili ya kufeed electrical energy maeneo mbalimbali bila wire Wafadhili wake JP Morgan wanagomea kum fund aendelee na Project hii ila mpaka leo haijawah Implemented kwa case ya high voltage nafikiri haina ufanisi mkubwa kwa transmission,

James N Mattis Secretary of Department of Defense Amekuwa akiwaza Majeshi tangu utotoni mpaka sasa age imevuka pasipo kuwa na tamaa na kuoa mattis ni mtabe wa mishe za Military kweli kweli mpaka anaitwa The madd Dogg

Da vinci huyu ata nisimueleze mana anajulikana kwa kuwa Polymath he was not only talented but gifted too Amechora Picha ya Shoga mwenzie Ceaser na mpaka sasa picha hio inatumika mno dunia kumwakilisha nabii fulani..


Makao makuu ya FBI yanaitwa J Hoover Building yamepewa jina hilo kwa vile tu Mkuu Edgar Hoover ndio DG aliekaa muda mrefu FBI,

Leo tunasoma mambo ya Motion, calculus na Gravitational force hapa namzungumzia Newton, Kuna Public figure wengi sana ambao absolutely they changed our World Swali langu kwanini most of these smart Men ni either Lonely man yani hawakuwa kuoa au Walikuwa Homosexual yani washirika wa Mapenzi ya jinsia moja hao niliowataja na machache waliofanya ni miongoni mwa watu walio ktk kundi hili , Hawa watu wamechangia mambo makubwa mno ktk field zote kuanzia Mitindo, Dini, science,sanaa na Biashara.
Je mahusiano ktk ya watu wa separate gender hupunguza uwezo wa akili, Hapa sijazungumzia Kanisa kama Catholic ambalo lina impact kubwa na pengine imani nyingi zimetokea RC nao waliofikisha apo kuanzia wakina Ignatius they are all loney men.
 
Jinsi unavuokuwa na majukumu ndio jinsi uwezo wa kuwa na mahusiano unapungua.. Mfano angalia vipanga wengi waliokuwa wanakimbiza darasani unakuta hawakuwa watu wa Ku entertain sex kama wale ambao walionekana kuwa vilaza
akina bill gate wamekua na mchango mkubwa sana katika ulimwengu wa technolojia bt mbona bado wanafamilia mkuu?
 
Many of the genius men are sponsored by Lucifer himself, they work for him,

wapo busy kujenga hoja za kupotosha ulimwengu ili mkuu wao Lucifer atawale kirahisi, wanatumia sayansi na falsafa ili kuleta mageuzi duniani ambayo ni hasi au chanya.
they are luciferians
Lete uthibitisho mkuu au ndiyo imani yako kama mnavyosemaga.
 
Back
Top Bottom