mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,331
Kama huna pesa urefu wako utakusaidia kuchungulia watu chooni au kuweka BULB
Zinapounguwa....na si vinginevyo.....
Zinapounguwa....na si vinginevyo.....
Foot 6+Hivi mzee urefu unaanzia ngapi
Mpododo but also dwarfs are very stupid n sturbon my apology though for such a harsh truth/reality
futi 5 inchi 11.5 mkuuMimi nilipima pale High tech Sai waliniambia nna 180Cm.
what is stereotype ??
MIRA NAWE..so harshMpododo but also dwarfs are very stupid n sturbon my apology though for such a harsh truth/reality
utasikia usitake kunipanda kicwani ,sasa upande mara ngapi?
Jiwe gizani mkuu....!Kama huna pesa urefu wako utakusaidia kuchungulia watu chooni au kuweka BULB
Zinapounguwa....na si vinginevyo.....
Hahahaaaaaaaa urefu wa kirobaAverage kitanda ni 6ft kigawe katkat then angalia 4.5 ilipo
Nipo mambo vipi aisee za masiku?madam upo?mic u
Ndio, binafsi niko aware na mikoa ifuatayo ambayo no doubt huwa ina mbegu ndefu miaka nenda rudi:-Hakuna mtu anapenda kuzaa mtoto mfupi hata kama yeye ni mfupi. Na kwa haraka haraka wanawake wengi hapa Tanzania si warefu sana, ni mikoa michache yenye mbegu ndefu, wengi ni wafupi na kwakuwa ukabila haupo mwingiliano wa jamii mbalimbali ni mkubwa. Hivyo basi ongezeko la watu wafupi ni rahisi kuongezeka.
salama kabsaNipo mambo vipi aisee za masiku?
Mm Nimrefu wa futi 7'2.hua napata shida kitandani, nalala miguu inapitiliza.Average kitanda ni 6ft kigawe katkat then angalia 4.5 ilipo