fredymkanza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 284
- 152
Nimeshangaa mtu anakutwa na meno 60 ya tembo na kucha za simba eti faini milioni 10 kwa hali hii kila mtu si ataona hii ni biashara nzuri ya kufanya?
Tujitafakari jamani. Hii nchi si ya Rais Magufuli peke yake mzee wa watu anapambana usiku na mchana huku wengine wanafanya yao huko mahakamani. Hebu fuatilieni sensa ya tembo walivyopungua inatia uchungu.
Anyway isije inaonekana nina maslahi huko, sheria gani ilitumika hapa kwa Mfilipino naomba kujua jamani.
Tujitafakari jamani. Hii nchi si ya Rais Magufuli peke yake mzee wa watu anapambana usiku na mchana huku wengine wanafanya yao huko mahakamani. Hebu fuatilieni sensa ya tembo walivyopungua inatia uchungu.
Anyway isije inaonekana nina maslahi huko, sheria gani ilitumika hapa kwa Mfilipino naomba kujua jamani.