Kuna siri gani kwanini ma chef/wapishi wengi ni wakiume

Hata...wale wanaopika kwa order. .unaenda hotel Kama zile Za kitalii unasubiria menu dadika 45...Huwa wanapika wanaume....KAMA YULE WA MASAPTA SAPTA..
Hata kwenye tv show nyingi za nje kuangalia kwenye food network unakuta mwanaume ndiyo wanapika
 
Hata wanaoshirikia mashindano makubwa nje ya nchi kwa upishi kutoka Tanzania huwa ni wanaume..hata machef maarufu wa mitandaoni kutoka nje ya tz ni wanaume.. Wanaume wapo shapu Sana kupika Na ustadi wao mzuri iwe mahotel makubwa au hotel za mitaani.....
 
Wapo wanaopewa tenda kwenye maharusi na ni wanawake hilo unasemaje, na chakula kinakua kitamu tu
Mkuu sijasema wanawake wakipika kitakuwa kibaya, ila utakubaliana mimi sehemu nyingi za watu wengi (sio zote) wanaume ndo huhusika.

Sent using vidole vyangu!!
 
Hata mambo ya VICOBA zamani yalikua ya wanawake ila siku hizi wanaume huko mtaani na maofisini wanaongoza kwa kujiunga na VICOBA.

So mambo yamegeuka sana.
 
Alamsiki

Tembelea hotel nyingi utakuta ma chef wengi ni kina baba Hata hizi shughuli zetu za mtaani wapishi wengi wanaokodiwa kupika ni kina baba kina mama wanabaki kuwa waandaji wa vitu kama kukata nyanya n.k

Swali langu ni nini kilipelekea kuwa na utamaduni wa namna hii mbona kinyumbani nyumbani tunaona kinamama ndio wamekamatia sekta ya upishi vizuri, Inakuaje huko kwengine wanashindwa kuaminika na kuonekana?
Tatizo mwanamke atapewa jukumu la kupika kwenye sherehe akili yote iko kujipiga picha na kubandika Instagram na Facebook ili awatambie wenzake, akija kushituka chakula choye kimeungua.
 
Mbona wakina mama wengi wanapewaga tenda za kupika kwenye masherehe na wanapika tena ni chakula cha watu wengi kama swala ni idadi, tafuta sababu ingine
Ukifatilia jikoni unakuta wapishi ni wanaume. Huyo mama yeye ni mtoa maelekezo na msimamizi.
 
Mimi naona ni kwasababu wanapika chakula cha watu wengi. Upishi wa chakula cha watu wengi unahitaji nguvu ndo maana wanaume wanaplay part hapo.

Tukiongelea hotel kubwa 5* Chef wengi spot yao ni main kitchen, huku kwingine yeye anacheck machef wengine wanapigaje kazi so haina uhusiano na kupika chakula cha watu wengi wala kutumia nguvu. Ila ni ukweli kabisa machef wengi ni wanaume kuanzia Chef mkuu mpaka wasaidizi.
 
Cooks ni wapishi

Cockers ni majiko ya kupikia
Cooks ni verb in present tense he/she/it

Yes cooker can be termed as appliances for cooking

Also cooker can be defined as a person who cooks
Screenshot_20201211-144236_1.jpg


Sent using vidole vyangu!!
 
Sababu hiyo pia ni kazi kama kazi nyingine tu, tena hawa wapishi wakiume huwa wanalipwa vizuri sana wapo wanaolipwa mpaka 1milion kwa mwezi hasa kwenye hotel zenye nyota tano,pia ni wapo chapuchapu
Ninae jamaa yangu ni chef kwenye hotel ya kawaida tu siyo 5 lakin analipwa 1.5M nafkiri wa five-star wanakula mpunga mrefu zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom