Halafu huwa wanaloga staffs, huchomoki kwake!Huwezi kuendelea kama unafanya kazi kwa muhindi..
Yeye atakupa mshahara ambao utatosha kwa matumizi ya kula tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nilijiondoa kwenye hivyo vyama kitambo sana, 2500/= per month sikuona ilichofanya zaidi ukipata tatizo kazini ukiwaita hawaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakianza kukutukana kwa kihindi sasaWahindi wana roho mbaya sana, Ukifanya nao kazi ni waongeaji mno kifupi usiwe na hasira za karibu.
Anaibanaje mkuuWahindi wanakutuma kama punda. lakini kinachowafanya watu waongee ni pale mhindi anapobana hela yake huiibi...
Hela zao wanazisomea sijui manini kabla ya kukulipa mshahara....hiyo hela hutakaga ufanye la maana!Ndiyo wachawi wakuu
Oooh sorry nilikosea mkuu ni Tsh 12,500 per month
Wale waliosumbua wahindi mjini huoni kila wanaloshika lina buma 😂Hela zao wanazisomea sijui manini kabla ya kukulipa mshahara....hiyo hela hutakaga ufanye la maana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wanaongea na kilio juu
Ni kweli aisee niliacha kazi kutokana na ushirikina yaani nilikuwa kila nikienda job kichwa kinauma vibaya nikiludi home mzima 😀😀😀Hela zao wanazisomea sijui manini kabla ya kukulipa mshahara....hiyo hela hutakaga ufanye la maana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanatokea nchi tofauti na tabia zao zinakuwa tofauti na zetu kutoka na mazingira waliotokea. Mfano mzuri wa karibu ni Kenya. Wakenya sio watu wa msaada ingawaje ni majirani zetu. Hii ni kutokana na mfumo wa maisha wa nchi yao. Wamejengwa katika system ya kujitegemea kwa asilimia 100, hakuna msaada. Ndiyo maana Kenya omba omba ni wachache mno. Sisi wabongo tuko tofauti, mfumo wetu wa maisha uko kimsaada saada sana na ndiyo maana omba omba wamezagaa barabarani.Nashindwa kujua ni kwanini makampuni mengi utawakuta hawa jamaa ndio mabosi tena hawana utu kabisa katika kusimamia haki za wafanyakazi wao. Serikali iko wapi juu ya waajiri kama hawa tunaoteseka ni sisi wananchi zaidi tupo ndani ya Taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiingii akilini.Matatizo ni mengi siwezi kuorodhesha yote hapa, mfano mwaka juzi niliwahi kukatwa laki 2 katika mshahara wangu kisa nimetoka kazini saa 10 unusu jioni,
Mtu tuu kapiga simu kwa chief accountant kata mshahara wa fulani wakalima, nilisimama kidete wanipe fedha yangu na niliipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahindi unao watetea ni wajinga Ukifanya nao kazi ni wasumbufu haijawahi kutokea hawajui kitu kila dakika wanasumbua Kuna mmoja nilikuwa nae kwenye kampuni yaani kila dakika analeta kalatasi nimsaidie kujaza hajui English hajui kiswahili siku wakija wakaguzi polisi alikuwa anapata tabu aisee anajificha kwenye mabox alikuwa ana roho mbaya nilikuwa naombea siku polisi wamkute dadeki zake.Wabongo na nyie muache chuki kwa Wahindi vinginevyo mtaendelea kurukishwa kichura chura.
Waafrika mna mambo ya hovyo sana hata wahindi wakirudi zao Bharat nyie mtaendelea kuteseka na kutesana.
Waafrika hamjui mnachokitaka na kwa upande wangu watu weusi ni wabaya na wajinga kuliko rangi zote.(sio wote)
Nimekulia Tanzania so naongea kitu ninachokijua 100%
Live long Tanzania
Live long Bharat.
Wewe mama mi naongea kitu ambacho kimenitokea, kama mimi ni muongo sawa haina shida,Haiingii akilini.
Kwanza umetaja muda wa kutoka hujasema ulitakiwa utoke sas ngapi. Pili unasema walikukata laki 2. Hizo laki mBikiulikatwa kwa sababu ipi kwa mshahara upi?
Kuna habari ni ngumu sana kuzielewa kwa sababu Watanzania ni waongo sana.
Hapwesi kabisa katika hela. Wahindi wanakipaji cha uhasibu. Akijenga nyumba basi uhakika hata robo saruji haibaki.
Wale ndo zao...eti dereva wa bosi, mmiliki wa kampuni kabisa hana hata kitanda mwaka wa nane huu yuko job, yaan kama msukule, walking deadNi kweli aisee niliacha kazi kutokana na ushirikina yaani nilikuwa kila nikienda job kichwa kinauma vibaya nikiludi home mzima
Ha ha ha kweli asee...majini yao makali sana, halafu wanapenda matambiko balaa!Wale waliosumbua wahindi mjini huoni kila wanaloshika lina buma