Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
Ukipagawa na majini unakua mtamu kama hujapagawa na mapeo huwezi hata dinda kwa udiJana nikiwa kwenye daladala aliingia mwanamke mmoja hv wa kiislamu hakika ni mashaallah,alikaa pembeni yangu na harufu ya udi aliyojipiga ilinivutia sana nikatamani kama safari isiishe hadi nikambuka laaziz wangu.
Kuna jambo huwa linanichanganya sana hasa kwa laaziz wangu alikuwa akija tugegedane akiwa kajipiga maudi mwili mzima,hiyo siku game huwa ni tamu si mchezo tofauti na asipojifukiza.
Utamu unaokuwepo huwa unahamia kwenye ulimi hadi nahisi asali fulani hv ipo mdomoni Sasa najiuliza kuhusu ule utamu wa udi sipati jibu.
Kuna mtu hapa kaniambia kwamba eti kisa udi huita majini so huwa linamuingia unayemgegeda ndo chanzo cha huo utamu.
ETI NI KWELI KUHUSU HII?