Umeshawahi kujiuliza hili?
Ukiwa huna pesa umepigika hakuna hata mtu anayekusogelea, hata walio mbali hawakupigii. Hata ndugu zako wanakuwa kimya, japo kwa kuwa uko mbali nao hujawaambia kama uko kwenye wakati mgumu. Kama una mchepuko wako wala hata hana muda na wewe.
ILA SASA
Siku umepiga dili flani ukapiga mkwanja wa uhakika.... mfano kuna malipo umeyapata kama milioni kadhaa au laki kadhaa. bosi wako amekuambia broo cheque yako tumepeleka bank, hapo unakuwa na uhakika leo niko fresh. Unapanga bajet zako kadha wa kadha, kabla hujaenda kuchukua hiyo hela, au ndani ya siku moja tangu upate hela, zinakuja sms kibao, unapigiwa simu toka pande zote... wanakutajia matatizo, mengine yanatia huruma. Mchepuko wa muda mrefu mlishasahauliana siku hiyo anaanza tuu kuchat na wewe tena yuko mkoa mwingine....
Hivi wanajuaje kuwa leo una hela ndo waanze kukuomba wakati hujawaambia?
Mshana Jr, nakukaribisha
Ukiwa huna pesa umepigika hakuna hata mtu anayekusogelea, hata walio mbali hawakupigii. Hata ndugu zako wanakuwa kimya, japo kwa kuwa uko mbali nao hujawaambia kama uko kwenye wakati mgumu. Kama una mchepuko wako wala hata hana muda na wewe.
ILA SASA
Siku umepiga dili flani ukapiga mkwanja wa uhakika.... mfano kuna malipo umeyapata kama milioni kadhaa au laki kadhaa. bosi wako amekuambia broo cheque yako tumepeleka bank, hapo unakuwa na uhakika leo niko fresh. Unapanga bajet zako kadha wa kadha, kabla hujaenda kuchukua hiyo hela, au ndani ya siku moja tangu upate hela, zinakuja sms kibao, unapigiwa simu toka pande zote... wanakutajia matatizo, mengine yanatia huruma. Mchepuko wa muda mrefu mlishasahauliana siku hiyo anaanza tuu kuchat na wewe tena yuko mkoa mwingine....
Hivi wanajuaje kuwa leo una hela ndo waanze kukuomba wakati hujawaambia?
Mshana Jr, nakukaribisha