Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na akili nyingi kichwani?

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,097
10,998
Miwani nayozungumzia mimi sio zile anazovaa Diamond jukwaani, Bali ni zile za macho ambazo watu wengi huvaa kwa matatizo ya macho

Katika research yangu niliyoifanya kwa miaka mingi nimegundua asilimia kubwa ya watu wanaovaa hizi miwani wamestaharabika sana
University's%20Students%20In%20Tanzania%20listens%20one%20of%20seminar%20held%20in%20UDSM.jpeg


Huwezi ukamkuta mtu kavaa hizi miwani alafu akawa hajielewi yani wengu huwa ni wakimya alafu akili nyingi kichwani na wengi huwa ni wasomi
84477-mgjqjgcgks-1521021547.jpeg


Kuna siri gani kati ya wavaaji wa miwani za macho na tabia ya ustaharabu na kili nyingi?
thisisbillgates-20190220-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe
1. Just a coincidence
2. Lazima wawe wapole kwa sababu wanaogopa ukianza ugomvi na wakapigwa ngumi ya macho, miwani itapasuka jichoni.
3. Wagonjwa almost always, somehow wana inferiority complex, so do they.
4. Lazima wawe wapole na makini kwa sababu most of the time wanahitaji concentration katika kuangalia vitu before making decision.

Neno langu sio sheria.....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe
1. Just a coincidence
2. Lazima wawe wapole kwa sababu wanaogopa ukianza ugomvi na wakapigwa ngumi ya macho, miwani itapasuka jichoni.
3. Wagonjwa almost always, somehow wana inferiority complex, so do they.
4. Lazima wawe wapole na makini kwa sababu most of the time wanahitaji concentration katika kuangalia vitu before making decision.

Neno langu sio sheria.....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wavaa miwani wenzangu hapa tunaishia tu kutabasamu halafu tunapita kimya, maana tunajijua hatuna utofauti na wengine. Kuumwa macho hakuathiri tabia ya mtu, zaidi ya kuwa hauwezi kuwa mtu ya hyper hyper sana fujo fujo mbele za watu hii nikajua ni kwangu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rekebisha MADA YAKO MKUU ...USTAARABU NA UPOLE..ni vitu 2 tofauti,,..wengi wao ni WAPOLE NA SIO WASTAARABU...mfano MTU ANACHAMBIA TOILET PAPER ,,au ,KUOGA Anatumia KITAMBAA kwenye BAKULI ,,utamuitaje MSTAARABU?kwanza huwezi kumkuta msukuma toroli amevaa miwani ya macho,,,Mara nyingi huwa ni watu ambao WASOMI,,au WATULIVU SN...na sio WASTAARABU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rekebisha MADA YAKO MKUU ...USTAARABU NA UPOLE..ni vitu 2 tofauti,,..wengi wao ni WAPOLE NA SIO WASTAARABU...mfano MTU ANACHAMBIA TOILET PAPER ,,au ,KUOGA Anatumia KITAMBAA kwenye BAKULI ,,utamuitaje MSTAARABU?kwanza huwezi kumkuta msukuma toroli amevaa miwani ya macho,,,Mara nyingi huwa ni watu ambao WASOMI,,au WATULIVU SN...na sio WASTAARABU...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wangekuwa wanavaa toka walipo zaliwa tungewaza kujua uhalisia wa hulka zao,kwa vile wanavaa ukubwani baada ya kupata matatizo ni ngumu kujua hulka zao
 
miwani inawapa picha tofauti na jinsi uhalisia wa mambo ulivo..
 
Yaani mtu apofuke macho kwa ujinga wake wa kutokula matunda na mboga za majani leo hii uniambie ana akili nyingi kichwani?

Labda nyingi kulinganisha na zako
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom