Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,066
Wakuu habari za mda huu
Napenda kuchukua fursa hii adhimu ya kuwa mwanachama JF kujadili jambo pamoja na nyie wanajamii wenzangu.
Kuna siri gani kati ya wachawi na Mti uliotumika kujinyongea Mtu.
Kumekuwa na tetesi (kama si taarifa) kuwa mara nyingi sehemu alipojinyongea mtu utakuta matawi ya mti yule yamekatwa,
Jambo hili nimelifuatilia kwa mda kitambo ila majibu yake hayaridhishi,
Karibuni wenye ujuvi wa mambo haya.
Napenda kuchukua fursa hii adhimu ya kuwa mwanachama JF kujadili jambo pamoja na nyie wanajamii wenzangu.
Kuna siri gani kati ya wachawi na Mti uliotumika kujinyongea Mtu.
Kumekuwa na tetesi (kama si taarifa) kuwa mara nyingi sehemu alipojinyongea mtu utakuta matawi ya mti yule yamekatwa,
Jambo hili nimelifuatilia kwa mda kitambo ila majibu yake hayaridhishi,
Karibuni wenye ujuvi wa mambo haya.