Nashangaa hizi institutions zimejaa uozo ubadhirifu na madudu ya kila namna.
Yote hayo Magufuli anajua na alikemea sana BOT.
So far hatujaona change of management au board au uendeshaji wake.
Je, Inawezekana a naogopa kukutana PSPF kwa sababu ya Godfather wake (Mkapa) au?
If that's the case kwa nini ana woga sana na BOT?
Yote hayo Magufuli anajua na alikemea sana BOT.
So far hatujaona change of management au board au uendeshaji wake.
Je, Inawezekana a naogopa kukutana PSPF kwa sababu ya Godfather wake (Mkapa) au?
If that's the case kwa nini ana woga sana na BOT?