Kuna siku Tanzania atatokea Rais ambaye hakushiriki uchaguzi mkuu wala kupigiwa kura

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,735
6,291
Kwa mara ya kwanza baada ya Kifo cha mwendazake tumejionea vile VP anakwenda kuwa Namba moja directly bile votting hata ya kuthibitishwa na walau bunge.

Huu ni upungufu mkubwa katika katiba yetu na unapaswa kuzibwa haraka sana. Kwa mfano Wananchi walimchagua Hayati awaongoze na SSH kama makamu wake, lakini sidhani SSH angetoboa kama angesimama kwenye kampeni ngumu na Mzee wa Monduli.

Hii ina maana kura zilikwenda kwa hayati kama primary figure anayehitajika kuongoza na katika kampeni alikuwa akijinadi au kunadiwa yeye na si makamu wake. Haijawahi kutokea kampeni eti mnashinda kwa ushawishi wa makamu.

Sasa hoja yangu ni what if SSH naye akaendazake?. Maana yake Mpango anashika kijiti, Nini maana ya democracy hapa??... Nani alimchagua?? atawaongoza Wananchi gani wakati hawakumchagua kabisa?.

Kwa nini tusije kwenye ile kama ya Zambia ambapo VP anatakoover kama interim president with limited authority akiiandaa nchi kwa uchaguzi mkuu??. Kwa nini basi hata asipigiwe kura ya ndio au hapana na wananchi.

Its obvious clear kuwa alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais na siyo Rais. Tujikite kwenye hii maana!.. Kwa mfano najiuliza SSH angemteua Bashiru kuwa VP , bahat mpaya M/Mungu akampenda SSH . Means Bashiru anakuwa P wa Jamuhuri??
Sounds abnormal yani!!

Sounds crazy yaani
 
Kalalamikie katiba, sisi hatuna ugomvi na katiba imesha toa maelekezo. Sasa huyo atakae kuja kwa namna unavyo sema nadhani mapaka yesu atakapo rudi na sijui itakuwa lini bro.
 
Kwa mara ya kwanza baada ya Kifo cha mwendazake tumejionea vile VP anakwenda kuwa Namba moja directly bile votting hata ya kuthibitishwa na walau bunge.
Huu ni upungufu mkubwa katika katiba yetu na unapaswa kuzibwa haraka sana. Kwa mfano Wananchi walimchagua Hayati awaongoze na SSH kama makamu wake, lakini sidhani SSH angetoboa kama angesimama kwenye kampeni ngumu na Mzee wa Monduli. Hii ina maana kura zilikwenda kwa hayati kama primary figure anayehitajika kuongoza na katika kampeni alikuwa akijinadi au kunadiwa yeye na si makamu wake. Haijawahi kutokea kampeni eti mnashinda kwa ushawishi wa makamu.
Sasa hoja yangu ni what if SSH naye akaendazake?.. Maana yake Mpango anashika kijiti, Nini maana ya democracy hapa??... Nani alimchagua?? atawaongoza Wananchi gani wakati hawakumchagua kabisa?.
Kwa nini tusije kwenye ile kama ya Zambia ambapo VP anatakoover kama interim president with limited authority akiiandaa nchi kwa uchaguzi mkuu??. Kwa nini basi hata asipigiwe kura ya ndio au hapana na wananchi.

Its obvious clear kuwa alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais na siyo Rais. Tujikite kwenye hii maana!.. Kwa mfano najiuliza SSH angemteua Bashiru kuwa VP , bahat mpaya M/Mungu akampenda SSH . Means Bashiru anakuwa P wa Jamuhuri??
Sounds abnormal yani!!

Sounds crazy yaani
Fikiria fulsa za utawala huu,axha kupoteza glucose muhimu akilini mwako,hata aje nani ktk nchi hii kinachotakiwa ni wewe na maajabu yako.
 
Sukuma Gang walimtaka Bashiru au Chamurihno ? Tuheshimu katiba mulioweka CCM wenyewe
 
Ni mada fikirishi sana. Hebu fikiria angeshinda Urais Hashim Rungwe na Mgombea mwenza wake muuza chipsi Manzese. Rungwe akafa tungeongozwa na mchoma chipsi kweli?
 
Muda huu uliotumia kuwaza ujinga huu bora ungeutumia kutafutia riziki ya watoto wako, ili na wao wapishane msalani kama wale wa jirani yako. Nakushauri ungebaki humu kusoma mada za watu lkn sio kuandika wala kuchangia.
 
Ni mada fikirishi sana. Hebu fikiria angeshinda Urais Hashim Rungwe na Mgombea mwenza wake muuza chipsi Manzese. Rungwe akafa tungeongozwa na mchoma chipsi kweli?
kenge kabisa weye Tena maskini wa kufikiri.
kwani mchoma chips chii Ntu?? Tena wana akili kubwa!!
Wanalisha jiji kuliko wewe mwenye kadiploma ka mawazo.job less!

Nenda kote Duniani kuliko na watu wenye nazo uone wauza chips wanavo heshimiwa!!!

Kundi hilo ni bora mno! Wanawalisha kenge nyie! Wanatoa huduma maridadi leo unawatapikia hivi??

Wanapewa mitaji.mijengo ya maana na serikali zao kufanya hii huduma.hao wa kwenu mnawadharau sana , sababu miafrica ndivo mlivo.

Naju hujasoma wewe...
 
Muda huu uliotumia kuwaza ujinga huu bora ungeutumia kutafutia riziki ya watoto wako, ili na wao wapishane msalani kama wale wa jirani yako. Nakushauri ungebaki humu kusoma mada za watu lkn sio kuandika wala kuchangia.
Nataka kuwa VP ndo maana nawaza hili. Labda wewe uliesoma ungeacha kusoma na kuhakikisha wanao wanapishana chooni.
 
Back
Top Bottom