Kuna siku mbaya inakuja kwa watanzania.
wakati mwingine unaweza au usiweze kuamini kama tanzania kuna watu wenye akili timamu, hasa watawala. Huwezi amini na hutakubari ni nini kinachoendelea ndani ya uandikishaji wa wapiga kura, serikali ye2 sikivu imekuwa ikishauliwa hasa na UPINZANI na wa2 wengine kwa mambo makini lakini kwa kuwa wao ni vichwa ngumu hupuuza mapendekezo mazuri na yenye tija na kufanya wanachoamini ahata kama siyo sahihi.
Viongozi kama jaji luvuba sijui wanatoka wapi, sijui wamekula limao, sijui nani kawaloga. Lubuva na serikali wanatuaminisha uandikishaji unaenda vyema kitu ambacho si kweli na tunaona kwenye vyombo vya habari hali ilivyo, kazi ya mwaka au miaka wanataka waifanye kwa siku 90, huu ni ubabaishaji na njia ya kuzalisha vurugu na fujo ndani ya nchi.
Ujinga na uzembe huu siyo ujinga wa akina lubuva ila ni ujinga wa watanzania wote, timekuwa wepesi, inachukua siku 2 mpaka 3 mtu hajaandikishwa, lakini majibu mepesi kutoka kwa akina lubuva na serikali wanatuaminisha kuwa uandikishaji unaenda vyema.!
Ka nchi kaajabu sana haka.
Inakuaje mji kama arusha, mwanza, mbeya, dar nk unapewa siku 7 za kujiandikisha, wa2 hawafanyi kazi ya kuijandikisha 2, wana kazi zao nyingine. Ebu 2hurumieni jamani.
Hivi ni lini tutakuwa serious na mambo ye2, hivi ni lini watz tutaona umhimu wa haya mambo, hivi ni lini tutaondokana na viongozi kama luvuba, hivi ni lini tuataheshimiana. Je NEC haikujua mwaka huu kuna uchaguzi. Kuna siku mbaya inakuja tanzania.
wakati mwingine unaweza au usiweze kuamini kama tanzania kuna watu wenye akili timamu, hasa watawala. Huwezi amini na hutakubari ni nini kinachoendelea ndani ya uandikishaji wa wapiga kura, serikali ye2 sikivu imekuwa ikishauliwa hasa na UPINZANI na wa2 wengine kwa mambo makini lakini kwa kuwa wao ni vichwa ngumu hupuuza mapendekezo mazuri na yenye tija na kufanya wanachoamini ahata kama siyo sahihi.
Viongozi kama jaji luvuba sijui wanatoka wapi, sijui wamekula limao, sijui nani kawaloga. Lubuva na serikali wanatuaminisha uandikishaji unaenda vyema kitu ambacho si kweli na tunaona kwenye vyombo vya habari hali ilivyo, kazi ya mwaka au miaka wanataka waifanye kwa siku 90, huu ni ubabaishaji na njia ya kuzalisha vurugu na fujo ndani ya nchi.
Ujinga na uzembe huu siyo ujinga wa akina lubuva ila ni ujinga wa watanzania wote, timekuwa wepesi, inachukua siku 2 mpaka 3 mtu hajaandikishwa, lakini majibu mepesi kutoka kwa akina lubuva na serikali wanatuaminisha kuwa uandikishaji unaenda vyema.!
Ka nchi kaajabu sana haka.
Inakuaje mji kama arusha, mwanza, mbeya, dar nk unapewa siku 7 za kujiandikisha, wa2 hawafanyi kazi ya kuijandikisha 2, wana kazi zao nyingine. Ebu 2hurumieni jamani.
Hivi ni lini tutakuwa serious na mambo ye2, hivi ni lini watz tutaona umhimu wa haya mambo, hivi ni lini tutaondokana na viongozi kama luvuba, hivi ni lini tuataheshimiana. Je NEC haikujua mwaka huu kuna uchaguzi. Kuna siku mbaya inakuja tanzania.