Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,478
- 34,747
Hata Diamond huwa zinapungua na kupanda , ila huwez sikia amelalamika , Kwa sababu anajua ni maswala ya kawaida , tatizo hao wengine wanaaamin Wana uwezo Sawa au kumzidi diamond , hutaman wafikie kile anachokifikia , wakiona changes Kwa ushamba wanaaamin jamaa anawafan,yia hujuma .....hawaamin kama jamaa nusu ya views zake sio wabongo, wanaaamin kuna mbinu fulan huwa anafanya kuboost view, hvyo anauwezo wa kucheza na YouTube atakavyo ..... Jamaa anazunguka huku na kule kutangaza jina wao wamekalisha makalio hapo buza .......ndo hvo ukitaka ufanikiwe kwenye mziki sa hv boost ni kumuongelea diamond Kwa vyovyote vilekiongozi mi nakuelewa sana na hata sio kilaza kiasi hicho wa kushindwa kukuelewa katika maelezo yako haya mazuri. nikiri tu kuwa unaonekana una uelewa wa kutosha tu katika haya mambo kwa jinsi ulivyoyaelezea na hata kutoa reference.
tatizo langu kubwa mpaka sasa lililobaki ni kuwa kwanini msanii kama diamond yeye hatokewi na tatizo kama hili.....yaani ye akianza huwa zinapanda tu kwa kasi ya ajabu. je, ni sababu ya kuwa maarufu zaidi kuliko wote au watazamaji wake wana ujuzi flani unaowawezesha kuangalia kazi zake kwa usahihi?!!!!! labda kama maelezo hayo yapo hapo na sijayaelewa!