Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

kiongozi mi nakuelewa sana na hata sio kilaza kiasi hicho wa kushindwa kukuelewa katika maelezo yako haya mazuri. nikiri tu kuwa unaonekana una uelewa wa kutosha tu katika haya mambo kwa jinsi ulivyoyaelezea na hata kutoa reference.
tatizo langu kubwa mpaka sasa lililobaki ni kuwa kwanini msanii kama diamond yeye hatokewi na tatizo kama hili.....yaani ye akianza huwa zinapanda tu kwa kasi ya ajabu. je, ni sababu ya kuwa maarufu zaidi kuliko wote au watazamaji wake wana ujuzi flani unaowawezesha kuangalia kazi zake kwa usahihi?!!!!! labda kama maelezo hayo yapo hapo na sijayaelewa!
Hata Diamond huwa zinapungua na kupanda , ila huwez sikia amelalamika , Kwa sababu anajua ni maswala ya kawaida , tatizo hao wengine wanaaamin Wana uwezo Sawa au kumzidi diamond , hutaman wafikie kile anachokifikia , wakiona changes Kwa ushamba wanaaamin jamaa anawafan,yia hujuma .....hawaamin kama jamaa nusu ya views zake sio wabongo, wanaaamin kuna mbinu fulan huwa anafanya kuboost view, hvyo anauwezo wa kucheza na YouTube atakavyo ..... Jamaa anazunguka huku na kule kutangaza jina wao wamekalisha makalio hapo buza .......ndo hvo ukitaka ufanikiwe kwenye mziki sa hv boost ni kumuongelea diamond Kwa vyovyote vile
 
Ngoja nikupe mfano mdogo sana!

Assume wewe una akaunti benki, na deposits zako ni zile za laki mbili mbili, laki tatu tatu! Umejitahidi sana labda ume-deposit 1M kwa mkupuo!!

Sasa ikitokea siku umepata pesa ya kutosha, mathalani 50M na ukaenda ku-deposit zote kwenye akaunti ile ile... trust me, bank watakuuliza source ya hiyo pesa kwa sababu ndivyo sheria zao zinavyosema!!

Lakini mtu kama Manji kwa mfano hata aki-deposit 500M hawezi kuulizwa kwa sababu inawezekana deposits za aina hiyo ni jambo la kawaida kwenye akaunti yake!!

Hiyo maana yake nini?!

Tayari Diamond ni kama ameshakuwa established artist YouTube! Kama sikosei, Diamond ndie Msanii mwenye Subscribers wengi zaidi YouTube kuliko msanii mwingine yoyote Kusini mwa Jangwa la Sahara!

Na kimsingi, Msanii aliyemzidi Diamond Subscribers Afrika Mzima ni mmoja tu, somebody Muhamad or something like that... sina uhakika sana na hili jina, lakini ni Msanii wa Filamu na Muziki kutoka Egypt!!

Na kama utakumbuka, Diamond ameshakula tuzo mara mbili kutoka kwa hao hao YouTube, na alifika hadi HQ ya YouTube, kama sikosei ni baada ya kufikisha Subscribers 3M.

Sasa hiyo maana yake ni nini?!

Kwa mtu mwenye Subscribers 2M haiwezi kuwa ajabu kufikisha 1M Views within 24 hours or less, na inavyotokea hivyo, haiwezi kuonekana ni suspicious activity!

Halafu kuna jambo moja lakini sina uhakika nalo! Kuna baadhi ya YouTube Channel ikigonga hata Views 10K, tayari system inaanza kuwa alerted!

Sasa turudi kwa Ali Kiba! Kwanini tatizo linaanza Views zikishafika laki kadhaa na sio hiyo 10K?!

Ukiangalia kwa umakini hapo utaona ni kama system ya YouTube imezi-categorize hizi akaunti, ndio maana akaunti zingine zikishafika 10K tayari system inakuwa alerted na akaunti inaweza kuwa frozen hapo hapo; lakini kwa mtu kama Kiba ikishafika laki kadhaa, na usually above 500K, tatizo linaanza lakini hiyo kwa Diamond haitokei!

Chukua hiyo mifano miwili kisha rudi kwenye YouTube Channel ya Kiba na ya Diamond!

Wakati YouTube Channel ya Diamond kwa sasa ina Subscribers zaidi ya 3M, ile ya Kiba aliyoweka Dodo ina Subscribers chini ya 200K!!

Sasa kama assumption yangu ya ku-categorize hizi akaunti ni sahihi, utashangaa akaunti ya Kiba kuwa frozen baada ya kuona Views zipo busy counting wakati subsribers wake hawafiki hata 200K?!

Katika mazingira kama hayo sitashangaa akaunti ikiwa frozen ili kukagua hizi Views zinatoka wapi wakati hata subscribers wenyewe hana!!

Ukaguzi ukifanyika, system inakuta 90% ya Views ni direct from Instagram Account... kwamba, watu wanafika YouTube baada ya kufuata link kutoka Instagram (for this case, akaunti ya Kiba ya Instagram ingawaje haijalishi ni direct from which account)... kitu ambacho kinakubalika!!!
Bro mfano haupo real kwanza kufananisha bank deposits na YouTube views bt pili nahisi kabisa kwa 85% Kiba anaweka ngoma kwenye akaunti ya KINGS baada ya tatizo la views kusumbua sana kwenye akaunti yake yeye mwenyewe, ukisema zinaganda baada ya kufika laki 5 kwa sababu ya subscribers wake nakataa kwa sababu tayar Kiba ana nyimbo ambazo zilishagonga views 10+ milion hao YouTube hawakujiridhisha tangu kipindi hicho kwamba huyu jamaa ana watazamaji wa kutosha?,Mwana ina views mil 20 karibu bt tatizo limekuja kwa nyimbo zilizokuja mbele ya Mwana,why lisingeanza kipindi cha Mwana maana ndo alirudi kwenye game na hakuwa na followers wa kutosha kwenye akaunti zake...SO BY MY SIDE THE EXAMPLE ISNT RELEVANT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss mbona kama mfano wako wa bank na youtube haviendani!
Kwamba unajarib kusema mond hawahangaiki nae kwasababu ni kawaida yake???hii ni fact au mawazo yako tu mzee
Na unajarib kusema kua mashabiki wa kiba wanampenda kias kwmba wengi wao wanaangalia sana nyimbo mara nying kuliko wa mond??mmh
Sisemi kua mond anamhujum kiba ila mnajarib kuiweka as if ni kiba tu ndio mashabiki wake kuna ujuzi wa youtube hawana
Kurasa ndeeeeeefu afu kaandika UPUPU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali kiba amekuwepo miaka 17 iliyopita ni baba wa diamond kuwa kusign wimbo wake wa kwanza kabisa kwenye studio ambaye yeye alikuwa director!!! msijisahaulishe nadhani historia hii huwa mnaikwepa kuwa kwenye studio ya Bob Junior ambayo diamond alienda akiwa ana rap aliambiwa aimbe!!! ALI KIBA Kamfundisha vocal na punch DIAMOND usijisahaulishe hili pia, htaki kamuulize OMMY dimpoz

Kiba ana washabiki wapenzi na wafuasi, haimbi matusi wala kiki za kimapenzi za kumfanya awe kwenye news.Nyimbo zake zinasikilizwa na kila rika, kila dini na may be mahali popote hata nyumba za ibada. Ila wewe na mama yako hamuwezi kusikiliza nyimbo za diamond kama salome, jeje, kwangaru kama hautakuwa unamdhalilisha mama yako!!!

Kiba alipotea kwenye game kwa miaka 3 akarudi...HAJAWAHI imba nje ya maadhi ya zile nyimbo za asili za kitanzania-bongo flava ina asili ya Tanzania na waanzilishi ndio hao akina akiba akitanguliwa na kaka zake akina dully, domokaya, voice wonder, sumalee, z anto, marlaw, n.k katika stars wa miaka mingi Kiba yumo...Infact kipindi tunakua, KIBA ALIKUWA ANAFANANISHWA NA KILA MTU......na wote hawapo


Kiba alipotea nje ya ulingo wa muziki kwa miaka mitatu na akarudi akashika nafasi yake na yuko hapo alipo!!! YEYE sio mtu wa mashindano, yuko so real and natural na HANA papara wala kufuata mkumbo

wimbo wa dodo NI WA KAWAIDA sana, ila unaona impact yake? wakati asilimia 90 ya wanamuziki wanawaza kuimba ki nigeria akina ALI KIBA wamekomaa local, nyimbo za kawada kabisa na ndio ona watu wake wanaompenda hivyo hivyo ...............HII NI ISHARA mbaya kwa maadui zake, Kiba ni Game changer, anabadilika kila wimbo, anatoa wimbo watu wanapokuwa na hamu nae, hana skendo wa kiki za kijinga

maadui zake wanajua uwezo wake wa kuimba LIVE, kutambaa na bit yoyote ( tafuta nyimbo zote alizishirikishwa...tafuta yeye na bonge la nyau), wanajua ubunifu wake na mvuto wa kuifanya JAMII iimbe na kufuatilia nyimbo zake ambazo KATU hazina matusi!!!! MUOGOPE sana mtu ambaye ana mvuto wa asili na hana matusi wala kufuata kelele za mitandao....huyo mtu ana nguvu za asili



akina Z ANTO, MARLAW, sajna, belle 9, ibrazoma wamejitahidi kurudi na kutoka na nyimbo mpya tena kali,,,,,hauwaoni wala hauwasikii....IT IS ALWAYS THE KING anasikika, hata akikaa miaka 5 siku akiamka, utasikia kaamka...............anapendwa kwa asili yake, kujiheshimu! ,...HIVYO HIVYO unamuona kama mjinga mjinga, mshamba mshamba, ILA ANAPENDWA huyo!!! watu wanampenda genuinely ...ndio maama hata akikohoa leo, nchi nzima italipuka, na kibaya zaidi au kizuri nyimbo zake hazina mvutiko wa matusi..maisha ya kawaida kabisa na juzi Diamond alikuwa akiimba wimbo wa hadith wa ali kiba, wewe mshabiki wake, unajifanya una U TEAM kuliko wcb wenyewe!!!



Kama mama yako anataka mume kati ya ali kiba na dimond najua utampa ali kiba, bisha
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaa.....kaka agiza kinywaji chochote nalipa tena agiza KRETI NZIMA...umeuaaaaa,hujaacha kituuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaa.....kaka agiza kinywaji chochote nalipa tena agiza KRETI NZIMA...umeuaaaaa,hujaacha kituuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti wanashangaa...Kiba anapendwa!! Wanasahau kila musician ana washabiki.Kiba atakuwepo sana tu

Waache wapige kelele, wa sample music na ku edit, wakusanye watu wengi na watengeneze hela ruksa

Ila wasisahau King he has been there and will always be there na ana wapenzi wake wasiohamishika

Idea ya wcb kudondosha music kila mwanamuziki anapoweka pale, itawaumiza wao.... Kadiri siku zimavyoenda mbele SIFA KUWA WANA ROHO MBAYA inaenea
 
We mtoa huzi ficha ujinga ni mtanzania gani anaweza kukuibia au kukugandishia views zako you tube ??

Nyie mateam diamond na kiba wengi hamnitambui.

You tube wenyewe ndo wanafanya hivo na hio ni namna ya kufanya validation ya views.
You tube wana algorithm ambayo kazi yake ni kufanya validation ya views zote ikikuta fake views inazifuta zote.

Ujue kunawatu wanatumia bots kujiongezea views YouTube "crawlers" wakigundua wanazifuta.


Pili sometime views zina freeze kipindi cha validation au zinaoneka kama zimepungua Ila validation ikiisha zinarudi views zote ambazo mliona zinapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikupe mfano mdogo sana!

Assume wewe una akaunti benki, na deposits zako ni zile za laki mbili mbili, laki tatu tatu! Umejitahidi sana labda ume-deposit 1M kwa mkupuo!!

Sasa ikitokea siku umepata pesa ya kutosha, mathalani 50M na ukaenda ku-deposit zote kwenye akaunti ile ile... trust me, bank watakuuliza source ya hiyo pesa kwa sababu ndivyo sheria zao zinavyosema!!

Lakini mtu kama Manji kwa mfano hata aki-deposit 500M hawezi kuulizwa kwa sababu inawezekana deposits za aina hiyo ni jambo la kawaida kwenye akaunti yake!!

Hiyo maana yake nini?!

Tayari Diamond ni kama ameshakuwa established artist YouTube! Kama sikosei, Diamond ndie Msanii mwenye Subscribers wengi zaidi YouTube kuliko msanii mwingine yoyote Kusini mwa Jangwa la Sahara!

Na kimsingi, Msanii aliyemzidi Diamond Subscribers Afrika Mzima ni mmoja tu, somebody Muhamad or something like that... sina uhakika sana na hili jina, lakini ni Msanii wa Filamu na Muziki kutoka Egypt!!

Na kama utakumbuka, Diamond ameshakula tuzo mara mbili kutoka kwa hao hao YouTube, na alifika hadi HQ ya YouTube, kama sikosei ni baada ya kufikisha Subscribers 3M.

Sasa hiyo maana yake ni nini?!

Kwa mtu mwenye Subscribers 2M haiwezi kuwa ajabu kufikisha 1M Views within 24 hours or less, na inavyotokea hivyo, haiwezi kuonekana ni suspicious activity!

Halafu kuna jambo moja lakini sina uhakika nalo! Kuna baadhi ya YouTube Channel ikigonga hata Views 10K, tayari system inaanza kuwa alerted!

Sasa turudi kwa Ali Kiba! Kwanini tatizo linaanza Views zikishafika laki kadhaa na sio hiyo 10K?!

Ukiangalia kwa umakini hapo utaona ni kama system ya YouTube imezi-categorize hizi akaunti, ndio maana akaunti zingine zikishafika 10K tayari system inakuwa alerted na akaunti inaweza kuwa frozen hapo hapo; lakini kwa mtu kama Kiba ikishafika laki kadhaa, na usually above 500K, tatizo linaanza lakini hiyo kwa Diamond haitokei!

Chukua hiyo mifano miwili kisha rudi kwenye YouTube Channel ya Kiba na ya Diamond!

Wakati YouTube Channel ya Diamond kwa sasa ina Subscribers zaidi ya 3M, ile ya Kiba aliyoweka Dodo ina Subscribers chini ya 200K!!

Sasa kama assumption yangu ya ku-categorize hizi akaunti ni sahihi, utashangaa akaunti ya Kiba kuwa frozen baada ya kuona Views zipo busy counting wakati subsribers wake hawafiki hata 200K?!

Katika mazingira kama hayo sitashangaa akaunti ikiwa frozen ili kukagua hizi Views zinatoka wapi wakati hata subscribers wenyewe hana!!

Ukaguzi ukifanyika, system inakuta 90% ya Views ni direct from Instagram Account... kwamba, watu wanafika YouTube baada ya kufuata link kutoka Instagram (for this case, akaunti ya Kiba ya Instagram ingawaje haijalishi ni direct from which account)... kitu ambacho kinakubalika!!!
anh
Ngoja nikupe mfano mdogo sana!

Assume wewe una akaunti benki, na deposits zako ni zile za laki mbili mbili, laki tatu tatu! Umejitahidi sana labda ume-deposit 1M kwa mkupuo!!

Sasa ikitokea siku umepata pesa ya kutosha, mathalani 50M na ukaenda ku-deposit zote kwenye akaunti ile ile... trust me, bank watakuuliza source ya hiyo pesa kwa sababu ndivyo sheria zao zinavyosema!!

Lakini mtu kama Manji kwa mfano hata aki-deposit 500M hawezi kuulizwa kwa sababu inawezekana deposits za aina hiyo ni jambo la kawaida kwenye akaunti yake!!

Hiyo maana yake nini?!

Tayari Diamond ni kama ameshakuwa established artist YouTube! Kama sikosei, Diamond ndie Msanii mwenye Subscribers wengi zaidi YouTube kuliko msanii mwingine yoyote Kusini mwa Jangwa la Sahara!

Na kimsingi, Msanii aliyemzidi Diamond Subscribers Afrika Mzima ni mmoja tu, somebody Muhamad or something like that... sina uhakika sana na hili jina, lakini ni Msanii wa Filamu na Muziki kutoka Egypt!!

Na kama utakumbuka, Diamond ameshakula tuzo mara mbili kutoka kwa hao hao YouTube, na alifika hadi HQ ya YouTube, kama sikosei ni baada ya kufikisha Subscribers 3M.

Sasa hiyo maana yake ni nini?!

Kwa mtu mwenye Subscribers 2M haiwezi kuwa ajabu kufikisha 1M Views within 24 hours or less, na inavyotokea hivyo, haiwezi kuonekana ni suspicious activity!

Halafu kuna jambo moja lakini sina uhakika nalo! Kuna baadhi ya YouTube Channel ikigonga hata Views 10K, tayari system inaanza kuwa alerted!

Sasa turudi kwa Ali Kiba! Kwanini tatizo linaanza Views zikishafika laki kadhaa na sio hiyo 10K?!

Ukiangalia kwa umakini hapo utaona ni kama system ya YouTube imezi-categorize hizi akaunti, ndio maana akaunti zingine zikishafika 10K tayari system inakuwa alerted na akaunti inaweza kuwa frozen hapo hapo; lakini kwa mtu kama Kiba ikishafika laki kadhaa, na usually above 500K, tatizo linaanza lakini hiyo kwa Diamond haitokei!

Chukua hiyo mifano miwili kisha rudi kwenye YouTube Channel ya Kiba na ya Diamond!

Wakati YouTube Channel ya Diamond kwa sasa ina Subscribers zaidi ya 3M, ile ya Kiba aliyoweka Dodo ina Subscribers chini ya 200K!!

Sasa kama assumption yangu ya ku-categorize hizi akaunti ni sahihi, utashangaa akaunti ya Kiba kuwa frozen baada ya kuona Views zipo busy counting wakati subsribers wake hawafiki hata 200K?!

Katika mazingira kama hayo sitashangaa akaunti ikiwa frozen ili kukagua hizi Views zinatoka wapi wakati hata subscribers wenyewe hana!!

Ukaguzi ukifanyika, system inakuta 90% ya Views ni direct from Instagram Account... kwamba, watu wanafika YouTube baada ya kufuata link kutoka Instagram (for this case, akaunti ya Kiba ya Instagram ingawaje haijalishi ni direct from which account)... kitu ambacho kinakubalika!!!
ahsante kiongozi, umeniongezea kitu!!
 
Ali kiba amekuwepo miaka 17 iliyopita ni baba wa diamond kuwa kusign wimbo wake wa kwanza kabisa kwenye studio ambaye yeye alikuwa director!!! msijisahaulishe nadhani historia hii huwa mnaikwepa kuwa kwenye studio ya Bob Junior ambayo diamond alienda akiwa ana rap aliambiwa aimbe!!! ALI KIBA Kamfundisha vocal na punch DIAMOND usijisahaulishe hili pia, htaki kamuulize OMMY dimpoz

Kiba ana washabiki wapenzi na wafuasi, haimbi matusi wala kiki za kimapenzi za kumfanya awe kwenye news.Nyimbo zake zinasikilizwa na kila rika, kila dini na may be mahali popote hata nyumba za ibada. Ila wewe na mama yako hamuwezi kusikiliza nyimbo za diamond kama salome, jeje, kwangaru kama hautakuwa unamdhalilisha mama yako!!!

Kiba alipotea kwenye game kwa miaka 3 akarudi...HAJAWAHI imba nje ya maadhi ya zile nyimbo za asili za kitanzania-bongo flava ina asili ya Tanzania na waanzilishi ndio hao akina akiba akitanguliwa na kaka zake akina dully, domokaya, voice wonder, sumalee, z anto, marlaw, n.k katika stars wa miaka mingi Kiba yumo...Infact kipindi tunakua, KIBA ALIKUWA ANAFANANISHWA NA KILA MTU......na wote hawapo


Kiba alipotea nje ya ulingo wa muziki kwa miaka mitatu na akarudi akashika nafasi yake na yuko hapo alipo!!! YEYE sio mtu wa mashindano, yuko so real and natural na HANA papara wala kufuata mkumbo

wimbo wa dodo NI WA KAWAIDA sana, ila unaona impact yake? wakati asilimia 90 ya wanamuziki wanawaza kuimba ki nigeria akina ALI KIBA wamekomaa local, nyimbo za kawada kabisa na ndio ona watu wake wanaompenda hivyo hivyo ...............HII NI ISHARA mbaya kwa maadui zake, Kiba ni Game changer, anabadilika kila wimbo, anatoa wimbo watu wanapokuwa na hamu nae, hana skendo wa kiki za kijinga

maadui zake wanajua uwezo wake wa kuimba LIVE, kutambaa na bit yoyote ( tafuta nyimbo zote alizishirikishwa...tafuta yeye na bonge la nyau), wanajua ubunifu wake na mvuto wa kuifanya JAMII iimbe na kufuatilia nyimbo zake ambazo KATU hazina matusi!!!! MUOGOPE sana mtu ambaye ana mvuto wa asili na hana matusi wala kufuata kelele za mitandao....huyo mtu ana nguvu za asili



akina Z ANTO, MARLAW, sajna, belle 9, ibrazoma wamejitahidi kurudi na kutoka na nyimbo mpya tena kali,,,,,hauwaoni wala hauwasikii....IT IS ALWAYS THE KING anasikika, hata akikaa miaka 5 siku akiamka, utasikia kaamka...............anapendwa kwa asili yake, kujiheshimu! ,...HIVYO HIVYO unamuona kama mjinga mjinga, mshamba mshamba, ILA ANAPENDWA huyo!!! watu wanampenda genuinely ...ndio maama hata akikohoa leo, nchi nzima italipuka, na kibaya zaidi au kizuri nyimbo zake hazina mvutiko wa matusi..maisha ya kawaida kabisa na juzi Diamond alikuwa akiimba wimbo wa hadith wa ali kiba, wewe mshabiki wake, unajifanya una U TEAM kuliko wcb wenyewe!!!



Kama mama yako anataka mume kati ya ali kiba na dimond najua utampa ali kiba, bisha
historia nzuri kbs!
hiyo para ya mwisho mkuuu, dah!😂😂😂😂
 
habarini!
poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali!

leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01.....views ni kama 1.4M. kuna mambo kidogo yananishangaza:

1. kwanini views za huyu lazima mara zigande au zishushwe? tangu alipovunja rekodi 2017 na 'seduce me' ni kama kuna mtu 'asiyejulikana' anamfuatilia kwa karibu sana......alipojaribu kutoa mvumo wa radi 2018 kuna mambo kama hayo yalitokea.....zikisogea basi husogea taratibu sana. nina uhakika, siku tatu kitu kutrend namba moja kwa upande ule stori ingekuwa kubwa sana na views zingesogea kwa kasi mno. kuna nini?!!!!

2. akitoa nyimbo watu humfuata sana na kujaribu kumponda kwa kila namna tofauti na wengine. alipotoa seduce me na wengine nao wakaachia muda huo huo ili kujaribu kuipoteza. alipotoa mvumo wa radi mtu fulani alisikika akisema, 'tunamkaushia ili ibume'.....baadae views zikaanza kuganda. ametoa dodo juzi, kuna mtu sijui meneja au prodyuza analeta vijembe na mafumbo eti 'kipindi hiki cha corona watu wanahitaji za kucheza na hatutaki maqaswida'......sijajua ye inamuathiri vp na kwanini afuatilie. ukiacha hilo, kuna mtu alikuwa anatambulishwa siku hiyohiyo alipokuwa anazindua nyimbo yake. sijawahi kusikia alikiba akisema chochote kuhusu wao wanapotoa kazi zao au hata bila kutoa kazi zao zaidi ya kujaribu kujibu tu pale anapotajwa. humu leo umefunguliwa uzi ukisema, 'huyu ndo.......!' zimemwagwa sifa zake humo kedekede. thread ililetwa km jaribio la kutaka kupoteza habari za dodo!

3. kuna ajabu gani ya kumtumia mobeto?!! eti nyimbo imepata umaarufu sababu ya mobeto. nikikumbuka mwaka jana alikiba alipofanya ziara kule tabora na umati ambao ulikuwa unampokea na kumsimamisha humo njiani, nabaki najiuliza hivi na hamisa mobeto nae ni hivyo hivyo? haya tufanye mobeto ni maarufu kuliko kiba, sasa kuna ubaya gani wa kumtumia mtu maarufu ili nawe upate umaarufu? kwani muziki si biashara jamani?!!! sasa mnataka amtumie joanah wa jf ili nyimbo yake iambulie 1k mwaka mzima?!!!

4. kwanini watu wahangaike na mtu asiyejua kuimba/aliyeishiwa/aliyechuja kama inavyosemwa?!! ninapata hisia kuwa kuna mtu ana roho mbaya kwelikweli licha ya mafanikio lukuki aliyonayo. hapendi kabisa kuwaona wengine nao wakijipatia ugali wao. inawezekana yale malalamiko ya penseli yana maana kubwa sana!. hii ni hatari sana!

many are the plans in a man's mind, but it's the God's purpose that prevails! tutajikuta tunaendelea kushangaa tu jamaa hapotei kama matamanio yetu yanavyotaka!
Upumbavu na ujinga ni vipaji na wewe mleta mada una hiki kipaji.
 
Boss mbona kama mfano wako wa bank na youtube haviendani!
Kwamba unajarib kusema mond hawahangaiki nae kwasababu ni kawaida yake???hii ni fact au mawazo yako tu mzee
Na unajarib kusema kua mashabiki wa kiba wanampenda kias kwmba wengi wao wanaangalia sana nyimbo mara nying kuliko wa mond??mmh
Sisemi kua mond anamhujum kiba ila mnajarib kuiweka as if ni kiba tu ndio mashabiki wake kuna ujuzi wa youtube hawana
Mzee kuna watu wanatumia bots kuongeza views yani zinafungua video na kufunga Mara nyingi sana.

Wanacho Fanya YouTube ni auditing and validation wanakagua kila view kwa kutumia an automated algorithm ikikuta view fake inaifyeka wakati tukio hili linaendelea unaweza ona views zinashuka au kuganda

But views zilizokuwa validated zitarudishwa na idadi kamili kuonekana ,wakikuta fake watazikata zote zilizo fake na kubakisha sahihi

Ujue you tube wanalipa lazima walinde hela yao mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi watanzania tupoje hivi youtube ile mtu eti unaenda chezea views za mtu kizembe tu..mda mwingine tuache mambo ya hovyo kwa nnavo elewa pale kuna ulinzi wa kutosha na watu wanaoioperate ni vichwa hasa sasa leo hii mtu aende akashushe views kwa kweli si kazi ndogo
 
Back
Top Bottom