Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,180
- 85,338
Kwa mwenendo huu wa ukigeugue, Wallah nakwapia kuna siku moja CCM wote wataikana ile rasimu ya Katiba iliyobadilishwa kwa mbwembwe pale Bungeni. Inasikitisha saana sana kuona Watu wale wale wakiwa na sura mbili tofauti kwa wakati mmoja. Inauma sana. CCM ndio adui yetu Mkuu. Ukibisha wewe mbishi.