Hivi ni kwa nini watu na hata Ndugu wa karibu na mgonjwa hamsaidii wakati anaumwa, ilihali ikitokea akafariki wanaitisha vikao na kutoa michango kwa ajili ya msibai? Mbona wangetoa ili kuokoa maisha yake ndio ingewapata heshima na sifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.