Kuna sifa gani katika hili?

sawabho

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
5,286
3,107
Hivi ni kwa nini watu na hata Ndugu wa karibu na mgonjwa hamsaidii wakati anaumwa, ilihali ikitokea akafariki wanaitisha vikao na kutoa michango kwa ajili ya msibai? Mbona wangetoa ili kuokoa maisha yake ndio ingewapata heshima na sifa.
 
Back
Top Bottom