jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Utamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
JeryMfano nani?
Kuwachana tuShida yako ni kujua "System "ni sehemu gani serikalini au kuwachana wanaojisifia ni watu wa "system"?!
Jerry huyuhuyu aliyetspeli millioni 10 na pingu zake?Jery
Hao ni matepeli wa Green Guard UVCCMUtamsikia mtu anajisifia heti we hujui niko kwenye system!.sijui kwenye system serikalini ndo sehemu gan? Hacheni hizo !
Ahahahahahaaaaa ati wanasema anafanya hivyo ili kujipatia viroba vya konyagi kitongaKuna member humu anaitwa gentamanini sijui . ..anajifanyaga ni mtu wa "system" ..
Hana lolote yule GENTAMYCINE ni jobless tuKuna member humu anaitwa gentamanini sijui . ..anajifanyaga ni mtu wa "system" ..
Kuna member humu anaitwa gentamanini sijui . ..anajifanyaga ni mtu wa "system" ..
Mkuu umejuaje?hili ni jambo kubwa na lipo Tz nzima.Uvccm wote huwa wanajifanya ni usalama wa taifa ili wanywe viroba bure
Asante nilitaka kumtaja umenisaidiaKuna member humu anaitwa gentamanini sijui . ..anajifanyaga ni mtu wa "system" ..
Hahahah sio kwa povu hili sipati picha mngeonana ana kwa ana mgegawana nyumba za serikali mochwari muhimbili na segereaKabla sijaja na majibu ambayo najua na nina uhakika wa 100% kuwa yatakuumiza na kukutesa mno ' Kisaikolojia ' naomba ili kuthibitisha haya ' madai ' yako uniwekee hapa ' ushahidi ' wako wote wa Kimaelezo kwamba kuna siku Mimi nimewahi kusema au kujitangaza au kujitapa humu JF kama ni Muajiriwa wa ' System '. Nasubiri huo ushahidi kisha baada ya hapo sasa nitakupa kile ulichokuwa ukikitaka kutoka Kwangu ili siku nyingine uiheshimu na ukae mbali kabisa na hii ID. Huwa nawapenda mno Watu kama nyie ambao huwa ' mnawashwawashwa ' na GENTAMYCINE na bahati nzuri leo umejiingiza mwenyewe katika ' Frame '.