Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,039
- 4,248
Wakuu kuna shida gani nitakutana nazo ikiwa ntachelewa kuripoti chuo yaani nikaenda baada ya hizi wiki mbili walizotoa mimi ni first year chuo ni UDSM.
Maana life is not fair mambo yameingiliana wakuu
Maana life is not fair mambo yameingiliana wakuu