racka98
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,041
- 1,530
Hapa karibuni kma siku 3 hivi zilizopita Internet speed zimekua mbovu sana. Natumia Voda na TTCL. Yaani speed imeshuka sana. Kwenye spend nilikua napata hadi 20mbps download lakini sasa napata 1 to 2mbps Voda. Yaani Voda ina buffer video ya 360p Youtube. Nyie wenzangu nao mmeona speed imeshuka huko kwenu au ni mimi tu.
Kma jana usiku TTCL 4G ilipotea kabisa. Nipo eneo linaloshika network vizuri tu za hii mitandao miwili ila ghafla naona speed imeshuka mno. 4G inakua na speed za 3G huko.
Kma jana usiku TTCL 4G ilipotea kabisa. Nipo eneo linaloshika network vizuri tu za hii mitandao miwili ila ghafla naona speed imeshuka mno. 4G inakua na speed za 3G huko.
Mabando wanapandisha bei kila siku ila internet speed zinazidi kushuka tu kila siku. Hizi bei wanazotuongezea hela wanafanyia nini sasa?