Appollo 11
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 205
- 520
Wakuu habari zenu,
Naomba kufahamishwa kuna tatizo gani katika frumo wa kuomba ajira serikarini kupitia sekretariet ya ajira.
Ni zaidi ya wiki mbili kuna dogo alihitaji nimsaidie kuweka current picha yake kwenye profile la kuomba ajira kama maelekezo yanavyo hitaji, lakini nimejaribu sana kupitia simu na Kompyuta lakini imeshindikana. Naona inaload tu.
Nimejaribu kutrace nikaona pia kuna watu wanakutana na changamoto hii. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa namna gani ya kuweza ku upload,, Resolution zimezingatiwa na pia picha iko chini ya MB walizolimit.
Naomba mwenye ufahamu zaidi atufahamishe.
Naomba kufahamishwa kuna tatizo gani katika frumo wa kuomba ajira serikarini kupitia sekretariet ya ajira.
Ni zaidi ya wiki mbili kuna dogo alihitaji nimsaidie kuweka current picha yake kwenye profile la kuomba ajira kama maelekezo yanavyo hitaji, lakini nimejaribu sana kupitia simu na Kompyuta lakini imeshindikana. Naona inaload tu.
Nimejaribu kutrace nikaona pia kuna watu wanakutana na changamoto hii. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa namna gani ya kuweza ku upload,, Resolution zimezingatiwa na pia picha iko chini ya MB walizolimit.
Naomba mwenye ufahamu zaidi atufahamishe.