Kuna shida gani kwenye mfumo wa Ajira Portal hata kushidwa kupakia (upload) picha?

Appollo 11

JF-Expert Member
Apr 15, 2016
205
520
Wakuu habari zenu,

Naomba kufahamishwa kuna tatizo gani katika frumo wa kuomba ajira serikarini kupitia sekretariet ya ajira.

Ni zaidi ya wiki mbili kuna dogo alihitaji nimsaidie kuweka current picha yake kwenye profile la kuomba ajira kama maelekezo yanavyo hitaji, lakini nimejaribu sana kupitia simu na Kompyuta lakini imeshindikana. Naona inaload tu.

Nimejaribu kutrace nikaona pia kuna watu wanakutana na changamoto hii. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa namna gani ya kuweza ku upload,, Resolution zimezingatiwa na pia picha iko chini ya MB walizolimit.

Naomba mwenye ufahamu zaidi atufahamishe.
 
Changamoto za ajira portal ni nyingi kuliki Kudate na mtoto wa shule
 
Download hio alafu weka picha yako passport ya Tanzania izoom (crop) iupload ikigoma njoo untusi
20220617_120138.jpg
 
Wakuu habari zenu,

Naomba kufahamishwa kuna tatizo gani katika frumo wa kuomba ajira serikarini kupitia sekretariet ya ajira.

Ni zaidi ya wiki mbili kuna dogo alihitaji nimsaidie kuweka current picha yake kwenye profile la kuomba ajira kama maelekezo yanavyo hitaji, lakini nimejaribu sana kupitia simu na Kompyuta lakini imeshindikana. Naona inaload tu.

Nimejaribu kutrace nikaona pia kuna watu wanakutana na changamoto hii. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa namna gani ya kuweza ku upload,, Resolution zimezingatiwa na pia picha iko chini ya MB walizolimit.

Naomba mwenye ufahamu zaidi atufahamishe.
Wakuu habari zenu,

Naomba kufahamishwa kuna tatizo gani katika frumo wa kuomba ajira serikarini kupitia sekretariet ya ajira.

Ni zaidi ya wiki mbili kuna dogo alihitaji nimsaidie kuweka current picha yake kwenye profile la kuomba ajira kama maelekezo yanavyo hitaji, lakini nimejaribu sana kupitia simu na Kompyuta lakini imeshindikana. Naona inaload tu.

Nimejaribu kutrace nikaona pia kuna watu wanakutana na changamoto hii. Naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa namna gani ya kuweza ku upload,, Resolution zimezingatiwa na pia picha iko chini ya MB walizolimit.

Naomba mwenye ufahamu zaidi atufahamishe.
Hiyo picha kama unayo i scan kwa kutumia cam scanner kama huna cam scanner i download
 
Back
Top Bottom