Richard charles
Member
- Jul 31, 2014
- 20
- 9
Wadau na wataalamu wa mambo ya sheria naombeni kujua kama kuna sheria inayonilinda mimi kama mteja wa masiliano ya simu za mkononi juu ya matangazo yanayotolewa na kampuni za simu kuja kwa wateja bila ridhaa yangu na hivyo kusababisha usumbufu huku wao wakiingiza mamilioni ya fedha.
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha