Kuna sheria hapa Tanzania inayomzuia mtu kutembea usiku wa manane?

okoyoko

JF-Expert Member
Jun 15, 2014
2,664
3,629
Hello guys,

Nimekuwa nikizunguka maeneo ya Moshi na Arusha kwa ajili ya bata za usiku. Sasa sometimes(sio mara zote) ukiwa nje ya nightclub, maybe kwenye mgahawa ulio open, kwa Moshi kuna aina ya polisi wanaitwa makuruta. Sometimes wakikukuta kwenye mgahawa wa nje ya club muda wa usiku wa manane, ukiwa umekaa hata kama huna kosa wala silaha yoyote, wanaanza kukupa amri za kijinga, na adhabu, sasa kama RAIA inabidi utii kwa kuogopa usumbufu wa kupelekwa lockup na kubambikiwa kosa ambalo hujalifanya.

Wao kulinda usalama muda wa usiku si kosa, lakini kama wanahisi mtu ni kibaka? Kwanini wasimfate MTU kistaarabu, wamwambie tumekusimamisha kwa sababu a,b,c halafu waanze kum-search wakimkuta na silaha, mirungi au bangi, cocaine, ndo wamtie hatiani?

Kwa Arusha ukikamatwa na Polisi usiku wa manane, ukutwe na kosa au usikutwe na kosa, kituoni utapelekwa na rushwa utatoa, usipotoa rushwa unaenda magereza kwa kosa la kubambikiwa.

Inasemekana eti mkuu wa wilaya huko Arusha alitoa amri watu wasitembee usiku, hivi amri ya kiongozi automatically inakuwa ni sheria?

Waliokutana na maswaibu kama hayo na walio na ujuzi wa sheria watufahamishe.
 
Hello guys,

Nimekuwa nikizunguka maeneo ya moshi na arusha kwa ajili ya bata za usiku, sasa sometimes (sio mara zote) ukiwa nje ya nightclub, maybe kwenye mgahawa ulio open, kwa moshi kuna aina ya polisi wanaitwa makuruta, sometimes wakikukuta kwenye mgahawa wa nje ya club muda wa usiku wa manane, ukiwa umekaa hata kama huna kosa wala silaha yoyote, wanaanza kukupa amri za kijinga, na adhabu, sasa kama RAIA inabidi utii kwa kuogopa usumbufu wa kupelekwa lockup na kubambikiwa kosa ambalo hujalifanya.

Wao kulinda usalama muda wa usiku si kosa, lakini kama wanahisi mtu ni kibaka? Kwanini wasimfate MTU kistaarabu, wamwambie tumekusimamisha kwa sababu a,b,c hlf waanze kum-search wakimkuta na silaha, mirungi au bangi, cocaine, ndo wamtie hatiani?

Kwa arusha ukikamatwa na Polisi usiku wa manane, ukutwe na kosa au usikutwe na kosa, kituoni utapelekwa na rushwa utatoa, usipotoa rushwa unaenda magereza...kwa kosa la kubambikiwa.

Inasemekana eti mkuu wa wilaya huko arusha alitoa amri watu wasitembee usiku, hivi amri ya kiongozi automatically inakuwa ni sheria?

Waliokutana na maswaibu kama hayo na walio na ujuzi wa sheria watufahamishe.
Wanaita "uzembe na uzururaji" japo sijui ni uzembe wa aina gani unaokuwa umeu'commit hapo.
Je uzembe ni kosa la jinai? Hapo sasa.
 
Wanaita "uzembe na uzururaji" japo sijui ni uzembe wa aina gani unaokuwa umeu'commit hapo.
Je uzembe ni kosa la jinai? Hapo sasa.

Kitendo cha kukamatwa na hao police ni uzembe,kitendo cha kupelekwa lockup ni uzurulaji manake wewe huna kwa kulala unazurula usiku
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Unaruhusiwa Kuishi Popote Ndani Ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Pia Unaruhusiwa Kutembea Muda Wote 24/7 Ila Sasa Lazima Uwe Na Sababu Zinazojitosheleza.

Unauguliwa Yaani Unampeleka Mgonjwa Saa Sita Usiku Ruksa, Unatoka Safari Saa Sita Usiku Ruksa
Ukishindwa Kujieleza Lazima Upate Tabu
 
Unaruhusiwa Kuishi Popote Ndani Ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Pia Unaruhusiwa Kutembea Muda Wote 24/7 Ila Sasa Lazima Uwe Na Sababu Zinazojitosheleza.

Unauguliwa Yaani Unampeleka Mgonjwa Saa Sita Usiku Ruksa, Unatoka Safari Saa Sita Usiku Ruksa
Ukishindwa Kujieleza Lazima Upate Tabu
Ndo ulivyolishwa Tango pori sio?
 
Kitendo cha kukamatwa na hao police ni uzembe,kitendo cha kupelekwa lockup ni uzurulaji manake wewe huna kwa kulala unazurula usiku
Ha ha ha ha,kumbe kukamatwa ni uzembe.
Kwa hivyo ina maana ukishindwa kumudu kuwa na sehemu ya kulala ni uzururaji na ni kosa la jinai, duh..!
 
Ha ha ha ha,kumbe kukamatwa ni uzembe.
Kwa hivyo ina maana ukishindwa kumudu kuwa na sehemu ya kulala ni uzururaji na ni kosa la jinai, duh..!

Unakamatwaje wakati sio jambazi wale ukizungumza nao vizuri hawana neno,na kituoni huendi
 
Maeneo mbalimbali yana sheria zake (sheria za jamii/eneo husika tu) mara nyingi watu hukubaliana muda wa kutembea uwe mwisho saa ngapi kwa sababu ambazo wao wameona zinawafaa.

Mara nyingi maeneo ambayo siyo salama huwa na ulinzi shirikishi kama siyo raia basi mgambo huwa wanazurura kuhakikisha usalama wa mali na raia upo.

"Penye watu pana mambo" kwangu mimi nimeishi sehemu ambayo unaweza kutembea masaa 24 bila kuulizwa na mtu ila nilipoenda baadhi ya maeneo nilikuta wana utaratibu wao. Ila hizi huwa ni sheria ndogo ndogo ambazo jamii hujiwekea kwa manufaa yao.

Pia utembeaji wa hovyo unaweza kuitwa UZURURAJI.
 
Maeneo mbalimbali yana sheria zake (sheria za jamii/eneo husika tu) mara nyingi watu hukubaliana muda wa kutembea uwe mwisho saa ngapi kwa sababu ambazo wao wameona zinawafaa.

Mara nyingi maeneo ambayo siyo salama huwa na ulinzi shirikishi kama siyo raia basi mgambo huwa wanazurura kuhakikisha usalama wa mali na raia upo.

"Penye watu pana mambo" kwangu mimi nimeishi sehemu ambayo unaweza kutembea masaa 24 bila kuulizwa na mtu ila nilipoenda baadhi ya maeneo nilikuta wana utaratibu wao. Ila hizi huwa ni sheria ndogo ndogo ambazo jamii hujiwekea kwa manufaa yao.

Pia utembeaji wa hovyo unaweza kuitwa UZURURAJI.
Umejibu vyema!
 
Back
Top Bottom