jameeyla
Senior Member
- Aug 12, 2011
- 119
- 29
Hivi watanzania waliolewa na foreigners inapotokea kaachwa na hajalipwa haki zake sheria gani inamsaidia mtanzania kama huyu ili kupata msaada,,ikiwa pia kaachiwa na watoto? Na foreigner kasharudi kwao?
Kwa wamarekani ubalozi wao hapa hukataa kabisa kumsaidia mtu wa namna hii na wanakuambia kama huwezi kumlea mtoto serikali yao imchukue na upoteze haki kabisa ya kummliki mtoto huyo kwani akifika huko marekani kuna watu wanakuja kuadopt watoto huko kwa hiyo inakula kwako!
Kwa wamarekani ubalozi wao hapa hukataa kabisa kumsaidia mtu wa namna hii na wanakuambia kama huwezi kumlea mtoto serikali yao imchukue na upoteze haki kabisa ya kummliki mtoto huyo kwani akifika huko marekani kuna watu wanakuja kuadopt watoto huko kwa hiyo inakula kwako!