macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,705
- 39,412
Kinachofanya joto la Dar liwe baya ni humidity. Humidity iko very high kwa sababu ya bahari na maji chumvi hivyo kufanya mwili kushindwa ''kupumua'' Huko kwingine mnakosema ukikaa sehemu ya uwazi ambayo haina direct sunshine huwezi kujisikia vibaya kama Dar.Dar watu wanakuza sana mambo.. bado sijaona hilo joto la kulia lia hivi.