Kuna sayari zaidi ya Billioni 100 katika Universe, Je Viumbe hai tupo peke yetu ?

Sayari nyingi sio supportive kwa maisha ya viumbe, nnaowasikia ni alliens na sijui wanatoka sayari gani, wanakula nini, wanakufa au hawafi?
Mkuu umeweka hoja nyingi sana katika mstari mfupi.Sisi pia ni alliens kwa hao alliens.Kifo ni transformational process.Kula au kutokula ni isignificant aspect ya uhai.

Kimsingi ninachotaka kukwambia ni kwamba acha fikra zako zishangae bwana
 
Mkuu usiseme sayari nyingi siyo supportive kwa maisha.Usichukulie kuwa viumbe wote wawe kama viumbe wa sayari hii walivyo.Wanaweza kuwa na hali kulingana na hali ya mazingira ya sayari za huko. Biblia inaunga mkono hicho kitu.
Matayo 18:12-13 Neno: Bibilia Takatifu
12 “Mnaonaje? Kama mtu ana kondoo mia moja na mmoja wao akapotea, hatawaacha wale tisini na tisa mlimani aende kumtafuta yule aliyepotea? 13 Na akisha mpata, nawaambia kweli, anafurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko kwa wale tisini na tisa ambao hawakupotea.

Luka 15:8-10 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)Shilingi Iliyopotea
8 “Au tuseme mwanamke ana shilingi kumi halafu apoteze moja. Si atawasha taa afagie nyumba na kutafuta kwa uangalifu mpaka aipate? 9 Na akisha kuipata atawaita marafiki zake na majirani na kuwaambia, ‘Furahini pamoja nami; nimeipata ile shilingi yangu iliyopotea!
Kutoka kwenye hiyo mistari inaweza kuwa ni taarifa kuwa sayari yetu iliyoingia dhambini ni asilimia moja katika ya sayari zenye binadamu lakini Mungu /Yesu akaacha zile zingine akaja kutafuta /kukomboa moja iliyopotea.

Jamaa una akili nyingi!
 
Huwa nafikiria kua kabla hata hatujaanza kuweka umakini na mawazo yetu sana kwa aliens and outerspace mystries while hata dunia yetu tu hii bado hatuja ixplore vya kutosha,nothing is known deep inside ocean floors,there are unknown animal and plant species completely bizzare and mystry to us...



Sent using Jamii Forums mobile app
Yap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala nikilifilia huwa naona bora nisingejua tu hata kama kuna milky way galaxy maana inachanganya sana.

Bora uombe tu Mungu yaishie hapo na usubiri siku ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwingi wa sayari isitupelekee imani ya kua na viumbe wengine..mfano shahawa inakuwa na sperms bilioni lakini Moja tuu ndo inakua na kusababisha kiumbe..
 
Kwenye ulimwengu unaojulikana, zipo sayari nyingi zenye kufanana na Dunia na kama zipo za hvi basi uwezekano wa kuwepo na viumbe hai kama wa hapa duniani hasa hasa intelligent life kama sisi binadamu pia ni mkubwa. Lakini mambo siyo marahisi kihivyo kwasababu,

kama intelligent life ipo basi tungeshapata signal kutoka kwao siku nyingi hasa hasa radio signals. Manake chochote kile kilichopo ulimwenguni kinatoa signals. Hii ni sana sana kwa exo planet ambazo hazina umbali mkubwa (maybe hazizidi 100000 ly).
Kwa zilizopo mbali zaidi (kwanzia million ly) signal zitachukuwa muda mrefu zaidi kutufikia kwa teknolojia tulionayo hivi sasa. Hata tunazozipata kwasasa kutoka kwenye hizo sayari za mbali, ni za zamani sana miaka zaidi ya billioni na hizo dunia zitakuwa zimebadilika sana.
Na kwa jinsi tulivyo kwisha weza ku detect hata zamani hzo kulikuwa hamna intelligent life.

Na hata kwa upande wetu hao viumbe wa sayari za mbali (kama wapo) wanapokea signal za dunia ilivokuwa zamani sana kabla hta viumbe hapa duniani havija evolve. Na hii ni kama teknolojia watakayokuwa wanaitumia inafanana na ya kwetu, ikimaanisha kuwa kimaendeleo watakuwa sawa na sisi au tunafanana kwa kiasi.

Hii pia inamaanisha kuwa, kuna uwezekano mkubwa kuwa kama intelligent life ipo basi itakuwa bado ni primitive au itakuwa imelingana na ya sisi binadamu. Kama kuna ambayo imetuzidi sana uwezekano wa wao kuwepo ni mdogo kwa kuwa kama wangekuwepo wangeshatufikia kwa kuwa teknolojia yao itakuwa kubwa sana.
Hata hivyo kuna uwezekano ya kuwa sisi bado teknolojia yetu ipo primitive na uwezo waku detect hzo signals ni mdogo, mpka labda tutakapo kuwa tumefikia class 1 civilization.

Hivyo basi uwezekano wa intelligent life bado upo 50 50. Kwa hapa bindamu tulipofikia hakuna chochote kinacho prove kuwa kuna intelligent life nje ya dunia.

Kwa hiyo ideas zako ni kwamba issues kama za UFO's ni fabricated stories tu, si ndiyo? By the way, una mawazo gani kusiana na structures ambazo zipo kama pyramids at Giza na moai statues kule easter island?
 
Kwa hiyo ideas zako ni kwamba issues kama za UFO's ni fabricated stories tu, si ndiyo? By the way, una mawazo gani kusiana na structures ambazo zipo kama pyramids at Giza na moai statues kule easter island?
Kuhusu UFOs siwezi kusema moja kwa moja kwamba ni fabrications kwasababu kama mtu akisema ameona kitu na ana uhakika huwezi kumbishia. Hata hivyo kuna mambo wanasema serikali ya Marekani kuna mambo wanaficha. Na kuhusu pyramids na kule easter island hizo ni kama conspiracies na hakuna definitive proof.
 
Kuhusu UFOs siwezi kusema moja kwa moja kwamba ni fabrications kwasababu kama mtu akisema ameona kitu na ana uhakika huwezi kumbishia. Hata hivyo kuna mambo wanasema serikali ya Marekani kuna mambo wanaficha. Na kuhusu pyramids na kule easter island hizo ni kama conspiracies na hakuna definitive proof.
Yaani mimi ninachosema hapa ni kuwa, Pyramids za Giza na zile sanamu za Moai kule Easter Island. kwa mawazo yako wewe binafsi, unaweza ukasema kuwa zilitengenezwa na aina gani ya viumbe?
 
Kwenye ulimwengu unaojulikana, zipo sayari nyingi zenye kufanana na Dunia na kama zipo za hvi basi uwezekano wa kuwepo na viumbe hai kama wa hapa duniani hasa hasa intelligent life kama sisi binadamu pia ni mkubwa. Lakini mambo siyo marahisi kihivyo kwasababu,

kama intelligent life ipo basi tungeshapata signal kutoka kwao siku nyingi hasa hasa radio signals. Manake chochote kile kilichopo ulimwenguni kinatoa signals. Hii ni sana sana kwa exo planet ambazo hazina umbali mkubwa (maybe hazizidi 100000 ly).
Kwa zilizopo mbali zaidi (kwanzia million ly) signal zitachukuwa muda mrefu zaidi kutufikia kwa teknolojia tulionayo hivi sasa. Hata tunazozipata kwasasa kutoka kwenye hizo sayari za mbali, ni za zamani sana miaka zaidi ya billioni na hizo dunia zitakuwa zimebadilika sana.
Na kwa jinsi tulivyo kwisha weza ku detect hata zamani hzo kulikuwa hamna intelligent life.

Na hata kwa upande wetu hao viumbe wa sayari za mbali (kama wapo) wanapokea signal za dunia ilivokuwa zamani sana kabla hta viumbe hapa duniani havija evolve. Na hii ni kama teknolojia watakayokuwa wanaitumia inafanana na ya kwetu, ikimaanisha kuwa kimaendeleo watakuwa sawa na sisi au tunafanana kwa kiasi.

Hii pia inamaanisha kuwa, kuna uwezekano mkubwa kuwa kama intelligent life ipo basi itakuwa bado ni primitive au itakuwa imelingana na ya sisi binadamu. Kama kuna ambayo imetuzidi sana uwezekano wa wao kuwepo ni mdogo kwa kuwa kama wangekuwepo wangeshatufikia kwa kuwa teknolojia yao itakuwa kubwa sana.
Hata hivyo kuna uwezekano ya kuwa sisi bado teknolojia yetu ipo primitive na uwezo waku detect hzo signals ni mdogo, mpka labda tutakapo kuwa tumefikia class 1 civilization.

Hivyo basi uwezekano wa intelligent life bado upo 50 50. Kwa hapa bindamu tulipofikia hakuna chochote kinacho prove kuwa kuna intelligent life nje ya dunia.
...na pia kuna theories zinasema the universe expands at higher speed compared to speed of light.. this means kuna signals za kutoka huko galaxies za mbali hazitotufikia kamwe. Its complicated and confusing. I wish Warp drive devices zingekuwepo...
 
Mimi nafikiri hakuna kitu kinaitwa "outer space". Hii inawezekana ni mojawapo ya uongo wa wazungu hasa NASA ili waendelee kupiga hela ndefu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba hawa jamaa wamekua waongo waongo sana na pamoja na kujidai kuwa wana teknolojia ya hali ya juu, bado kuna mambo madogo sana wakiulizwa huwa wanabaki kutoa macho tuu..

Naanza kuamini kwamba kila kitu tunachokiona kuanzia jua, mwezi, nyota, nk vyote hivi vipo ndani ya anga la dunia mbalo ni kubwa sana kuliko wanasayansi wanavyotuambia na hakuna uwezekano wa mtu au kitu kutoka nje ya anga hilo. Nadhani vitabu vya dini vilikua sahihi.
Man, This is totally incorrect. Na vile wanavyokwambia tar fulani saa fulani dakika fulani kuanzia sekunde fulani mwezi au jua litapatwa.. You can opt to rely on this to trust mambo mengine wanayokuambia. Walikuja na theories zao na postulates kuwa dunia ni mfano wa tufe..ukianza point A ukazunguka dunia utaishia kurudi kwa point A. Then Mrusi Yuri Gagarin akazunguka dunia for the first time miaka ya 1950's.. To me haya mambo ni complicated sana but as long as wanauwezo wa kuprove some of the existing theories, i do trust wanayotuambia.
 
Zamani kabisa kabla ya wakoloni kuja afrika, babu zetu hawakujua uwepo wa jamii nyingine hasa zilizo mbali nao. Kuna huyu Christopher Columbus yeye inasemekana ndie aligundua uwepo wa bara la america. Kuna wengine walijua bahari/ ziwa linapoanzia ndio mwisho wa dunia.

Kumbe kulikua na jamii nyingi sanaa ila hapakua na teknolojia nzuri za mawasiliano ambazo zingewafanya wakune.

Kwahyo mimi naamini kabisa HATUKO PEKEETU.



Sent using Jamii Forums mobile app
I concur
 
Man, This is totally incorrect. Na vile wanavyokwambia tar fulani saa fulani dakika fulani kuanzia sekunde fulani mwezi au jua litapatwa.. You can opt to rely on this to trust mambo mengine wanayokuambia. Walikuja na theories zao na postulates kuwa dunia ni mfano wa tufe..ukianza point A ukazunguka dunia utaishia kurudi kwa point A. Then Mrusi Yuri Gagarin akazunguka dunia for the first time miaka ya 1950's.. To me haya mambo ni complicated sana but as long as wanauwezo wa kuprove some of the existing theories, i do trust wanayotuambia.

Thanx. Mimi mwenyewe baada ya kufanya tafiti ndogo ndogo naanza kujiona mjinga. Kuhusiana na uwepo wa viumbe hai kwenye sayari zingine inawezekana ikawa hivi:
1. Hawapo kabisa (Hii inaungwa mkono na maandiko mbalimbali ya dini)
2. Waliwahi kuwepo zamani ila sasa hawapo. (Hii inatokana na kuwepo baadhi ya vitu hapa duniani vinavyoonyesha dalili za kuwahi kutembelewa na hawa viumbe mf picha, maandiko, artifacts, nk) Pia maandiko ya dini yanaunga mkono hili
3. Wapo, ila wako mbali sana na hatuwezi kuwasiliana nao kwa njia yoyote au wanatumia mifumo tofauti na yetu
4. Wapo, ila wanaishi katika dimension tofauti na sisi
5. Wapo kwenye kila sayari, ila wamejificha -labda wanaishi ndani ya hizo sayari sio juu kama sisi (Kuna baadhi ya sayari zinahisiwa kuwa na uwazi ndani ikiwemo yakwetu)
6. Wapo hapa hapa duniani ila wamejificha ( Hollow earth- kwamba dunia ina uwazi ndani na kuna viumbe wanaishi humo).
 
Huwa nafikiria kua kabla hata hatujaanza kuweka umakini na mawazo yetu sana kwa aliens and outerspace mystries while hata dunia yetu tu hii bado hatuja ixplore vya kutosha,nothing is known deep inside ocean floors,there are unknown animal and plant species completely bizzare and mystry to us...



Sent using Jamii Forums mobile app
Hili uliloliongea ni jambo la msingi sana. Mimi mwenyewe nimekua nikijiuliza kwanini tunaweka effort kubwa kutaka kwenda Mars ilihali hapa duniani tu kuna maeneo hayajafikika? Kuna theory inazunguka kwamba dunia yetu ni hollow i.e ina nafasi ndani ambayo hao tunaowaita aliens ndio wanakoishi. Na kuna ushahidi wa watu waliowahi kwenda huko na kukutana na viumbe hao wanaoishi humo. Unaambiwa hata baadhi ya wanyama wa zamani ambao walitoweka duniani wapo humo wanaishi. Na njia za kuingilia humo zipo na watu wanazijua! Inasemekana njia zipo kwenye north na south pole lakini pia kuna baadhi ya maeneo zipo. Cha kushangaza ni kua hakuna binadamu yoyote anayeruhusiwa kurusha mguu maeneo hayo, hata ndege haziruhusiwi kupita!!
Sasa hii ukiunganisha na zile stori za mitaani kwamba wachawi hua wana uwezo wa kushuka chini ya bahari na kuna nchi kavu humo watu wanaishi utaona jinsi theory hii inavyoleta maana.
 
...na pia kuna theories zinasema the universe expands at higher speed compared to speed of light.. this means kuna signals za kutoka huko galaxies za mbali hazitotufikia kamwe. Its complicated and confusing. I wish Warp drive devices zingekuwepo...
Ni kweli kabisa mambo ni magumu kuliko tunavofikiria. Na pia kuna uwezekano sisi tukawa first intelligent life kwasababu ukiangalia timeline ya the universe bado tupo mwanzoni na tuliweza kuevolve mpaka multicellular organisms ambayo ni ngumu sana kufikia hatua hii.
 
B
Binadamu wa kizazi kipi, hiki cha kwetu sasa hivi? Moai unazijua ukubwa wake na uzito wake? Ni kubwa mno na uzito wake siyo rahisi ukabebwa na binadamu kwa maana kuwa hata kama una chombo cha kuweza kuzibeba, bado huwezi kuzipakia kwenye chombo hicho

Soma hapa Moai - Wikipedia
Obviously naongelea binadamu wa zamani. Ndio kuna vitu havieleweki lakini uwezekano wakutengenezwa na binadamu ni mkubwa zaidi kuliko na viumbe wengine.
Anyways only time will tell.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom