Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hivi sasa Zanzibar inaongozwa na serikali ya umoja wa Kitaifa kati ya Chama cha Mapinduzi , CCM na Chama cha Wananchi , CUF. Je kuna sababu ya msingi kuwa na serikali ya aina hiyo Tanzania bara?
Toa maoni yako.
Toa maoni yako.