chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Kiukweli sitaki kuzungumzia Imani ya mtu yoyote hapa jukwani wala kutaja dini fulani bali kufumbuana kuhusu hili.
Wote tuna dini na imani na ndiyo inatufanya kuamini mungu yupo au shetani yupo.
ila kitu cha kushangaza katika vitabu vyetu naweza sema kutumika vibaya au kukosewa kwa tunavo soma au tunavofundishwa.
Haya yote leo tunayo yaona usishangae ni kwa sababu ya hivi vitabu kama kichwa cha habari kinavosema.
Kuna mda unaweza jiuliza kama ugaidi kupitia dini zetu,dini za ajabu na mengineyo.
Nini kitu kinacho tufanya haya yote !
kama ni mwanadamu anaweza kutumia vibaya kitabu au aliyechapisha alikosea
Wote tuna dini na imani na ndiyo inatufanya kuamini mungu yupo au shetani yupo.
ila kitu cha kushangaza katika vitabu vyetu naweza sema kutumika vibaya au kukosewa kwa tunavo soma au tunavofundishwa.
Haya yote leo tunayo yaona usishangae ni kwa sababu ya hivi vitabu kama kichwa cha habari kinavosema.
Kuna mda unaweza jiuliza kama ugaidi kupitia dini zetu,dini za ajabu na mengineyo.
Nini kitu kinacho tufanya haya yote !
kama ni mwanadamu anaweza kutumia vibaya kitabu au aliyechapisha alikosea