Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
Nijuavyo Arab League ni umoja wa nchi za kiarabu na AU ni umoja wa nchi za kiafrica. Sasa Somalia, Chad, Sudan, Djibut, Senegal na Mali kuwa mwanachama wa umoja wa nchi za kiarabu kuna mantiki gani? Je, ukitokea mgogoro wa nchi ya kiarabu na kiafrica kama ilivyo mgogoro wa bwawa la umeme la Ethiopia AU itamuunga mkono nani?
Mgogoro wa zamani kati ya mwarabu wa Sudan na mtu mweusi wa Sudan ya kusini ulidumu miaka ishirini na moja na ulikuja tatuliwa na UNO badala ya AU kwa sababu kuna baadhi ya mataifa ya watu weusi wanajiona waarabu. Je kifanyike nini sasa?
Mgogoro wa zamani kati ya mwarabu wa Sudan na mtu mweusi wa Sudan ya kusini ulidumu miaka ishirini na moja na ulikuja tatuliwa na UNO badala ya AU kwa sababu kuna baadhi ya mataifa ya watu weusi wanajiona waarabu. Je kifanyike nini sasa?