Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichosema hakipo ni hiyo hatari ya jiwe kutupiga , na sio kwamba asteroids hazipoKuhusu matofali huko angani yapo kweli..
Dunia NI "kamchanga "kadogo sana ukilinganisha na hyo mitofali
Na hyo ajali ipo Mimi naaminiNilichosema hakipo ni hiyo hatari ya jiwe kutupiga , na sio kwamba asteroids hazipo
Una kiwango gani cha elimuwaache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Wewe endelea kutengeneza kimpumu huko kijijini kwako haya mambo ni mazito kwa uelewa wako. Wenzetu walishaendelea kwenye teknolojia na sayansi na ndio maana unatumia simu zao. Na bado unaabudu Mungu yuleyule waliyekuletea wao wakakufundisha na kukukaririsha uku wanachukua rasilimali zakowaache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Umechangishwa na nani? Ni nchi gani duniani imechangia na ni kiasi gani? Unadhani NASA ni mabakuli FC kama serikali yako isiyo na uwezo wa kujenga vyoo mashuleni mpaka wazungu waje watoe msaada wanafunzi waweze kujisaidia.Hili ni dili la kuchota matrillion kwa kutishiana vitu ambavyo havipo, hapa nchi zote tutachangishwa pesa kwa madai wanarusha makombora ya kulipiga hilo jiwe, kumbe wanarusha sattelite zao tu, na mchango tunalipishwa
Umewahi kuyaona hayo matofali au umejuaje kama yapo ?Kuhusu matofali huko angani yapo kweli..
Dunia NI "kamchanga "kadogo sana ukilinganisha na hyo mitofali
Kuna faida gani katika kuwekeza katika maigizo zaidi ya kujitekenya na kucheka mwenyewe. Maana ya maigizo ni kuongeza au kupunguza katika uhalisia bora uendelee kuwa maskini na nyuma kimaendeleo ila ukaishi katika uhalisia kuliko kuishi katila maigizo na kufurahisha mioyo yao.Mkuu mi nawaza ni lini tz tutaweza kuinvest kwenye vitu kama hivyo na si kuhangaika na ujenzi wa vyoo bora
1. Mbingu itapo chanika,�waache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???
Kongole na Mimi pia nilikuwa na mawazo kama yako, ingekuwa ni jiwe linaelekea kuidhuru Dunia nafikiri lingeshafika siku nyingi, Kama wanaweza kutuma chombo kulifuata jiwe maana yake jiwe pia linaweza kuja Duniani, lakini mpaka sasa liko kwenyemzunguko, Hii inaashiria kuwa huenda jiwe linaikinga Dunia na athari tusizozijua.waache kujipa kiki hao jamaa!!Dunia italindwa na yule alieitengeneza Dunia ilivyo!!!!Tena wasije wakafanya yao wakidhani wanatengeneza kumbe ndio majanga yakazidi kwa Dunia!!Hekima ya Binadamu ni upumbavu kwake yeye alieitengeneza Dunia!!WATAJUAJE KAMA HILO JIWE NDIO NGUZO YENYE KANI ISABABISHAYO UTULIVU KWA SAYARI ZOTE???