Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,383
ACHA NYETO MKUU UTASHUKURU BAADAE
Khanisi mtalajiwa.GOOD MORNING to every member of JF who will read this...
Kuna PUNYETO ama kujichua au vijana wanaita KUJITAFUNA MWENYEWE.. Halafu pia kuna TENDO LA NDOA LENYEWE KATIKA UHALISIA WAKE...
Lengo la mtu kufanya hivi vitu nafikiri lengo kuu huwa ni kumaliza tamaa za ngono tu. Lakini kinachonichanganya ni kwamba NIKIWA NAPIGA PUNYETO hamu yake haiishi kabisa, nitapiga leo, na kesho na keshokutwa na kila siku napiga na hamu haiishi kabisa.
Lakini nikiwa nafanya TENDO LA NDOA LENYEWE KATIKA UHALISIA WAKE naweza fanya siku mbili mfululizo au tatu baada ya hapo hamu zinaisha kabisa najiskia mwepesi naweza nalala na mwanamke mpaka asubuhi hata nisimfanye chochote, kwa kifupi naweza kaa hata siku mbili au tatu ndo nipate tena hamu ya kumchakata dem, ila nikisha gusa tu nyeto ndo basi hamu haiishi nakuwa napiga kila siku.
Sasa swali langu la msingi, kwanini ukiwa unapiga nyeto hamu inakuwa haiishi kirahisi kiasi kwamba waweza piga kila siku ila ukifanya tendo la ngono lenyewe kabisa kwa siku labda 2 au 3 mfululizo basi unaridhika kabisa waweza kaa siku 4 au 5 ndo unapata hamu ya kufanya tena ? Ila nyeto unatamani tu upige kila siku an why?
Uhusiano wa nyeto na tendo halisi ukoje an !
Nawasilisha.
Endeleeni kupiga nyeto baadaye faida yake mtaiona, unakuwa na mke nguvu za kiume huna halafu toto limenona unakula kwa macho tu, masela mtaani wanabutuwa tu.Jinyetue bao 3 mfululizo uone Kama utapata ham ya nyeto ndani ya hio wiki
Kw hio unahalalisha au unakemeaEndeleeni kupiga nyeto baadaye faida yake mtaiona, unakuwa na mke nguvu za kiume huna halafu toto limenona unakula kwa macho tu, masela mtaani wanabutuwa tu.
View attachment 2095948
jibu lisilo itaji nyongeza💪💪💪Ni sawa sawa kula chakula na kuonja.. ndio tofauti yake ukiwa unapiga punyeto ni unaonja chakula ndio maana hamu haiishagi ila ukifanya tendo la ndoa mujarabu umekula chakula kisawa sawa ndio maana unaweza kukaa mda bila ya kula tena wala kuonja.. punyeto ni uzembe
We jamaa una masihara saana wewe
sema futa la nazi limekaa mkao sanaMi sa sijui ndo nipo kundi lipi maana naweza kaa hata miezi 6 lakini lazima siku moja tuu nta nyetukaa...
Ila Dah... Nyeto huku una kichupa cha nchi 45 uwangalie O sex+ Uwe na Futa la Nazi mlio uwe wa mbaliiii dah... Broo unaweza chomoa bomba sehem yakee
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Dah mi atufu yake tuu na disa kwanaasema futa la nazi limekaa mkao sana
Ukisikia harufu tu mzeee mnara unasomaDah mi atufu yake tuu na disa kwanaa
UliachajeNi ngumu ila nyeto hutaki tena unaacha tu bila kuweka hata nadhiri
Madhara gani ili tusaidikeNilipata madhara,nadhani hii ndo sababu kuu iliyonifanya hata nisiteseke sana kuamua kuacha.Hivyo niliacha tu.
Kuchelewa kufika mshindoMadhara gani ili tusaidike
Akitoka Nigeria anaenda Moroco nafikiri mwezi huu huu.Hivi simba na RS Barkane wanacheza lini?
Sio kwa atakae kataa?? Mwanaume inakuaje hujapiga puchuAtakayekubali hapa mniuwe.