mpenda1961
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 123
- 78
Nimepita maeneo ya daraja la Salender, naona kuna polisi wenye silaha wanazama msituni pale na kuna gari la uokozi la Msalana Mwekundu.
Kuna nini kimetokea?
Anayejua.
Kuna nini kimetokea?
Anayejua.
Wewe ndiyo uko eneo la tukio halafu unatuuliza sisi wa kijitonyamanumepita maeneo ya slender bridge, naona kuna polisi wenye silaha wanazama msituni pale na kuna gari LA uokozi redcross.....
kuna nini kimetokea...
anayejua
Du........!!!Wasiojulikana wanawatafuta wasiojulikana
Kuna kitu si kawaida karibu na mikoko na kuna gari ya zimamoto magari ya police na watu kadhaNimepita maeneo ya daraja la Salender, naona kuna polisi wenye silaha wanazama msituni pale na kuna gari la uokozi la Msalana Mwekundu.
Kuna nini kimetokea?
Anayejua.
Hahahaha jbu mubasharasasa si ungesubiri ukaona kuna nini halafu utujuze na sisi
Operesheni ya kuondoa mateja na vibakaNimepita maeneo ya daraja la Salender, naona kuna polisi wenye silaha wanazama msituni pale na kuna gari la uokozi la Msalana Mwekundu.
Kuna nini kimetokea?
Anayejua.