Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
Nilikuwa na nampango wakununua simu e bay aina ya google pixel lakiji sina card ya banki hivi kwa hapa Dar hakuna ofisi zozote zile mabazo ni trusted zinajihusisha na uagizaji wa mizigo e bay.
Kama kuna mtu anazijua anifahamisha na kama alaishawahi kuagiza kupitia hizo ofisi.
Muwe na jumapili njema.
Kama kuna mtu anazijua anifahamisha na kama alaishawahi kuagiza kupitia hizo ofisi.
Muwe na jumapili njema.