Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Habari wanajf
Kuna kitu kinanipa wasiwasi na kufanya nijiulizwe maswali kadhaa juu ya baadhi ya wanaccm waliokuwa na kazi maalumu ya kukitetea chama hiki katika mitandao ya kijamii. Vijana hawa wapo miongoni mwa lile kundi maarufu kama wapiga makofi. Wapo kwa ajili ya hata kuhalalisha mabaya ya ccm kuwa mazuri.
Miongoni mwao kwa sasa wamepotea kabisa na wengine wamebaki wanajitojeza Mara Moja Moja tena kwa kujikongoja
Miongoni mwao ni wenye ID hizi
Faizafoxy
Chabruma
Simiyu yetu
Stroke
Msemajiukweli ( siku amekuwa mkosoaji)
Nini kimewapata? Au maslahi madogo?
Kuna kitu kinanipa wasiwasi na kufanya nijiulizwe maswali kadhaa juu ya baadhi ya wanaccm waliokuwa na kazi maalumu ya kukitetea chama hiki katika mitandao ya kijamii. Vijana hawa wapo miongoni mwa lile kundi maarufu kama wapiga makofi. Wapo kwa ajili ya hata kuhalalisha mabaya ya ccm kuwa mazuri.
Miongoni mwao kwa sasa wamepotea kabisa na wengine wamebaki wanajitojeza Mara Moja Moja tena kwa kujikongoja
Miongoni mwao ni wenye ID hizi
Faizafoxy
Chabruma
Simiyu yetu
Stroke
Msemajiukweli ( siku amekuwa mkosoaji)
Nini kimewapata? Au maslahi madogo?