Kampeni zimeisha na uchaguzi umeisha na sisiemu walishinda uchaguzi wa rais na pia wingi wa wabunge ktk bunge, KWA MWENYE AKILI ATAKWAMBIA KUWA KAZI YAO KWA AJILI YA UCHAGUZI ULIOPITA ILIKAMILIKA, wanasubiri 2020, ni wafa maji ndo wako bize mitandaoni.
Wasio na kazi ndio wanaoshinda mitandaoni wakianzisha na kuchangia vithread uchwara vyenye maneno ya kwenye khanga.
Ukiona uliowataja hawaonekani, basi ujue wana majukumu. Wakiwa free watashiriki kuchangia threads.
Kwani unaniona humu full time?ingekuwa hiyo ndio sababu hata wewe usingeingia hapa sasa hivi ungekuwa unachapa Nazi. poor you lumumba
Hizi akili sijui watu kama wewe mnakuwa mmerithi wapi!!!kama kweli ulichokisema ndio sababuVipi wewe mbona bado umo? poor you lumumba
Chadema mkizeeka mtakuwa wachawikwa Elimu gani waliyonayo zaidi ya kutapeli na kupika uongo hata mwenyekiti wao alisema hivyo.
swissme
hahahaha wachawi ni ccm wasiokuwa na huruma utawadhurumu vipi wahanga?Chadema mkizeeka mtakuwa wachawi
sema unaisoma namba na unaona aibu kiongozi wenu kula rambirambi.Hizi akili sijui watu kama wewe mnakuwa mmerithi wapi!!!
Aliyewambia nani mi ni lumumba au la, sio anti chadema yeyote ni lumumba.
Kuna tofauti ya mimi na hao uliowataja, kwanza kabisa siwekagi uzi za kisiasa, nina comment tu kama umenisoma.
Akili za bavicha hizi zinawatosha nyie, nashauri mbowe aendelee kutumia huo mzizi anaotumia kuwashikia akili mpaka mnyooke.sema unaisoma namba na unaona aibu kiongozi wenu kula rambirambi.
swissme
Akili za bavicha hizi zinawatosha nyie, nashauri mbowe aendelee kutumia huo mzizi anaotumia kuwashikia akili mpaka mnyooke.
aada ya kunyimwa viti maalumu sasa kawa kichaa.Faiza Foxy siku hizi ameungana na sheikh Khalifa kumpiga madongo mtukufu eti anawanyima Waislam vyeo, yaani huyu ajuza ni shiiiiida!!!!!!