Kuna nini TCU mwaka huu

Yaani issue hapa sio TCU pekee,Watanzagiza(wtz) tumerogwa haya masuala ya kila mtu anafanya anavyoweza na ndio maana tcu watawazingua na kisha vyuo vitafunguliwa na wale ambao watakuwa wamebahatika kupata vyuo wataenda vyuoni watasoma orientation week watamaliza harafu loan board watawambia kwamba hata form zao hazikuwahi kufika! soo likiingia barabarani watapigwa risasi za moto, je bora lipi ukae home au uende kozi za kimafia?
 
Mpaka kchwa kinaumah!
Kinachonishangaza ni kwamba, kwa nini mjipangie deadline kama hamtoweza kuifuata mwishoni? Kwanza walisema 6th June, 13th June, 1st week of July na sasa 4th August. Deadline zote zimewapita ... Na sasa 2nd round ya applications zimeanza kwa wale ambao hawakuchaguliwa (au ambao hawaku apply kabisa mara ya kwanza), swali langu ni hivi ... tutajuaje kwamba hatujachaguliwa ili tu apply tena kama hamtotoa matokeo?!<br />
<br />
They are the most unreasonable/incompetent people around!
<br />
<br />
 
Jamani hivi TCU ndo nini? Au ndo UDA, RICHMOND, DOWANS, EPA, MEREMETA, IPTL, KAGODA, HESLB, NECTA, NEC, TTCL, TLP, UDOM?
Watanzania bwana tuna mambo mengi sana ya kifisadi fisadi na hatukosi kulalamika na hatuchukui hatu. Anyway MUNGU ataturehemu na haya majanga ya kujitakia.
 
GUMADI.
TCU TCU TCU kutakua na jambo na litaleta mshangao kwa wengi pindi watakapotoa majina ya walio chaguliwa
 
wanasema Names of the selected applicants for 2011\2012 academic year will be published sometimes in july 2011
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
huzion kivp?
<br />
<br />
unapoingiza user name na password si unakuta kuna home,my profile,my program,na selection result.cku zote ukichek my program naziona zote8 bt since jana nikichek hauna yaani inaandika no program found.vp we mkuu zako zpo?
 
Yaani issue hapa sio TCU pekee,Watanzagiza(wtz) tumerogwa haya masuala ya kila mtu anafanya anavyoweza na ndio maana tcu watawazingua na kisha vyuo vitafunguliwa na wale ambao watakuwa wamebahatika kupata vyuo wataenda vyuoni watasoma orientation week watamaliza harafu loan board watawambia kwamba hata form zao hazikuwahi kufika! soo likiingia barabarani watapigwa risasi za moto, je bora lipi ukae home au uende kozi za kimafia?
<br />
<br />
ila nadhani serikali ndo chanzo kikuu,wamezoea kusema uongo uongo,sasa kulikuwa na umuhimu gani wa kusema tarehe 4 watatoa!! Hilo la MIKOPO,nalo me mwenyewe nazifikiria...
 
Back
Top Bottom