kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Nimeshangaa sana na nimesikitika mno kuna thread ililetwa humu kuwa tanesco wana mpango wa kupandisha gharama za kununua umeme na itakua ni kilimanjaro pekee
Hili jambo nilihisi ni stori tu kumbe ni kweli
Ukweli ni kua tanesco wamepandisha gharama za umeme kwa mkoa wa kilimanjaro kwa wanaotumia umeme wa majumbani walizoea kununua kununua units 40 kwa shilingi 5000 kwa sasa wanapewa units 13 tu hii ni kwa watu wote wa kilimanjaro
Umeme wa 10000 watu walikua wanapata units 76 lakini sasa wanapewa units 28 tu
Mambo ni hivi umeme ukiisha tu ukinunua token aidha kwa simu au kwa kwa mawakala ukiweka inagoma inabidi uende tanesco ukifika kule unapewa token mpya ukiingiza tu luku yako inabadilika na unaanza kununua umeme ghali mno
Kwanini tanesco wapandishe gharama za kununua umeme kwa kilimanjaro pekee?
Kwanini tunaigeuza hii nchi iwe ya chuki na kibaguzi???
Nimetafakari mno, why only in kilimanjaro??
Nimeshangaa sana na nimesikitika mno kuna thread ililetwa humu kuwa tanesco wana mpango wa kupandisha gharama za kununua umeme na itakua ni kilimanjaro pekee
Hili jambo nilihisi ni stori tu kumbe ni kweli
Ukweli ni kua tanesco wamepandisha gharama za umeme kwa mkoa wa kilimanjaro kwa wanaotumia umeme wa majumbani walizoea kununua kununua units 40 kwa shilingi 5000 kwa sasa wanapewa units 13 tu hii ni kwa watu wote wa kilimanjaro
Umeme wa 10000 watu walikua wanapata units 76 lakini sasa wanapewa units 28 tu
Mambo ni hivi umeme ukiisha tu ukinunua token aidha kwa simu au kwa kwa mawakala ukiweka inagoma inabidi uende tanesco ukifika kule unapewa token mpya ukiingiza tu luku yako inabadilika na unaanza kununua umeme ghali mno
Kwanini tanesco wapandishe gharama za kununua umeme kwa kilimanjaro pekee?
Kwanini tunaigeuza hii nchi iwe ya chuki na kibaguzi???
Nimetafakari mno, why only in kilimanjaro??
Hili jambo nilihisi ni stori tu kumbe ni kweli
Ukweli ni kua tanesco wamepandisha gharama za umeme kwa mkoa wa kilimanjaro kwa wanaotumia umeme wa majumbani walizoea kununua kununua units 40 kwa shilingi 5000 kwa sasa wanapewa units 13 tu hii ni kwa watu wote wa kilimanjaro
Umeme wa 10000 watu walikua wanapata units 76 lakini sasa wanapewa units 28 tu
Mambo ni hivi umeme ukiisha tu ukinunua token aidha kwa simu au kwa kwa mawakala ukiweka inagoma inabidi uende tanesco ukifika kule unapewa token mpya ukiingiza tu luku yako inabadilika na unaanza kununua umeme ghali mno
Kwanini tanesco wapandishe gharama za kununua umeme kwa kilimanjaro pekee?
Kwanini tunaigeuza hii nchi iwe ya chuki na kibaguzi???
Nimetafakari mno, why only in kilimanjaro??
Nimeshangaa sana na nimesikitika mno kuna thread ililetwa humu kuwa tanesco wana mpango wa kupandisha gharama za kununua umeme na itakua ni kilimanjaro pekee
Hili jambo nilihisi ni stori tu kumbe ni kweli
Ukweli ni kua tanesco wamepandisha gharama za umeme kwa mkoa wa kilimanjaro kwa wanaotumia umeme wa majumbani walizoea kununua kununua units 40 kwa shilingi 5000 kwa sasa wanapewa units 13 tu hii ni kwa watu wote wa kilimanjaro
Umeme wa 10000 watu walikua wanapata units 76 lakini sasa wanapewa units 28 tu
Mambo ni hivi umeme ukiisha tu ukinunua token aidha kwa simu au kwa kwa mawakala ukiweka inagoma inabidi uende tanesco ukifika kule unapewa token mpya ukiingiza tu luku yako inabadilika na unaanza kununua umeme ghali mno
Kwanini tanesco wapandishe gharama za kununua umeme kwa kilimanjaro pekee?
Kwanini tunaigeuza hii nchi iwe ya chuki na kibaguzi???
Nimetafakari mno, why only in kilimanjaro??