Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,927
- 6,465
Wanajukwaa nawasalimu.
Mimi niko mkoani Arusha na kuna mkwamo mkubwa sana wa upatikanaji wa Mafuta ya kula/Kupikia.
Na ukiyapata dukani bei ni mkasi. Ile Singida ya Elfu 16 kwasasa inapatikana kwa taabu na bei yake imepanda mpaka elfu 25. Vipi huko kwenu mlipo hali ikoje? Hii ndiyo Tanzania mpya?
Mbona serikali iko kimya sana kwenye hili? Naomba tushirikishane angalau serikali iingilie kati maana hali ni mbaya huku vyombo rasmi vya habari vikiwa kimya huku wananchi wakiteseka.
Naomba kuwasilisha
Mimi niko mkoani Arusha na kuna mkwamo mkubwa sana wa upatikanaji wa Mafuta ya kula/Kupikia.
Na ukiyapata dukani bei ni mkasi. Ile Singida ya Elfu 16 kwasasa inapatikana kwa taabu na bei yake imepanda mpaka elfu 25. Vipi huko kwenu mlipo hali ikoje? Hii ndiyo Tanzania mpya?
Mbona serikali iko kimya sana kwenye hili? Naomba tushirikishane angalau serikali iingilie kati maana hali ni mbaya huku vyombo rasmi vya habari vikiwa kimya huku wananchi wakiteseka.
Naomba kuwasilisha