Kuna nini kwa madereva wa CHADEMA

Kiokote

Member
Nov 9, 2010
86
42
Japo mambo ni mengi, acha tuchague ya kujiuliza!

Wana Bodi ni hivi; nakumbuka mwaka ule Chacha Wangwe alipopata ajali na kufariki papo hapo swali kubwa lilikuwa ilikuwaje katika ajali kama ile dereva bwana Mallya hakupata hata mchubuko. Ni kutokana na mtanziko huo viongozi wa Chadema walisisitiza lazima Mallya ashtakiwe, waliamini kuwa kifo cha Wangwe hakikutokana na ajali ile bali kupigwa risasi kicha gari kugongeshwa.

Kama nilivyosema, mambo ni mengi. Naomba niulize swali hili. Kwenye shambulizi dhidi ya Lissu ambalo lilitokea Septemba 7, 2017 pale Dodoma suala la dereva limejitokeza tena. Kwa mara nyingine dereva si miongoni mwa waliozulika na shambulio lile. Hakupata hata mchubuko licha ya risasi zaidi ya 38 kupigwa uelekeo ule ule aliokuwepo pamoja na Bosi wake.

Tofauti na tukio la kwanza ambapo viongozi wa CDM walilisitiza kuwa mtuhumiwa nambari moja dereva wa Wangwe lazima ashtakiwe; alishtakiwa na kukutwa hana hatia. Huyu dereva wa Lissu viongozi hawataki aguswe. Nini sababu ya mabadiliko haya licha ya ufanano wa ahusika na matukio.

Yako pia maajabu mengi yanayoambatana na tukio hili la pili, ikiwa ni pamoja na namna ambavyo dereva aliweza kukwepa risasi hata moja huku bosi wake zikimpata 16. Je, hakuwa ndani ya gari? Je, tumuamini Musiba anayedai zile hazikuwa risasi za moto?

Hebu tubaki kwenye hili la madereva kwanza...
1. Katika ajali ya Wangwe dereva hakudhulika hata tone...,
2. Katika shambulio la Lissu dereva hakupata hata mchubuko....

Je, ni bahati ya madereva au matukio ya kupanga? Inakuwaje madereva wote wawili wa viongozi wa juu CDM kuwepo katika matukio makubwa lakini wao hawadhuliki hata tone?

Tusiitane majina mabaya, tujadili kwa kutumia bongo sio rangi za bendera!
 
Ipo haja ya kujua kwanza waliopiga risasi walikuwa professionals waliomlenga mtu wao tu aliyekusudiwa au walikuwa wanabahatisha ? ONLY professionals deals with a spotter.

Kama walikuwa wahuni wasiojua kazi yao,swali lako ni lazima kupata majibu ya uhakika.

Naomba pia kuuliza,hivi kitendawili cha namna Hayati Moringe Sokoine kifo chake kilivyotokea kiliteguliwa vipi? Maana nilisikia kulikuwa na utata pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo mambo ni mengi, acha tuchague ya kujiuliza!

Wana Bodi ni hivi; nakumbuka mwaka ule Chacha Wangwe alipopata ajali na kufariki papo hapo swali kubwa lilikuwa ilikuwaje katika ajali kama ile dereva bwana Mallya hakupata hata mchubuko. Ni kutokana na mtanziko huo viongozi wa Chadema walisisitiza lazima Mallya ashtakiwe, waliamini kuwa kifo cha Wangwe hakikutokana na ajali ile bali kupigwa risasi kicha gari kugongeshwa.

Kama nilivyosema, mambo ni mengi. Naomba niulize swali hili. Kwenye shambulizi dhidi ya Lissu ambalo lilitokea Septemba 7, 2017 pale Dodoma suala la dereva limejitokeza tena. Kwa mara nyingine dereva si miongoni mwa waliozulika na shambulio lile. Hakupata hata mchubuko licha ya risasi zaidi ya 38 kupigwa uelekeo ule ule aliokuwepo pamoja na Bosi wake.

Tofauti na tukio la kwanza ambapo viongozi wa CDM walilisitiza kuwa mtuhumiwa nambari moja dereva wa Wangwe lazima ashtakiwe; alishtakiwa na kukutwa hana hatia. Huyu dereva wa Lissu viongozi hawataki aguswe. Nini sababu ya mabadiliko haya licha ya ufanano wa ahusika na matukio.

Yako pia maajabu mengi yanayoambatana na tukio hili la pili, ikiwa ni pamoja na namna ambavyo dereva aliweza kukwepa risasi hata moja huku bosi wake zikimpata 16. Je, hakuwa ndani ya gari? Je, tumuamini Musiba anayedai zile hazikuwa risasi za moto?

Hebu tubaki kwenye hili la madereva kwanza...
1. Katika ajali ya Wangwe dereva hakudhulika hata tone...,
2. Katika shambulio la Lissu dereva hakupata hata mchubuko....

Je, ni bahati ya madereva au matukio ya kupanga? Inakuwaje madereva wote wawili wa viongozi wa juu CDM kuwepo katika matukio makubwa lakini wao hawadhuliki hata tone?

Tusiitane majina mabaya, tujadili kwa kutumia bongo sio rangi za bendera!
Chadema kwa ujumla ni genge la wahalifu waliojificha kwenye siasa na demokrasia,genge hili hufanyiana umafia wao kwa wao,ndio maana ya hiyo "double standard",Lissu kujua walimtenda itachukua muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1:Ile ajali ya Kigwangala dereva mbona hakuumia?
2:Ajali ya Mwiguru mbona dereva hakuumia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Dereva wa Sokoine alitoka huku anawasha na fegi huku kashika nyundo mkononi,nasikia Marehemu ile ajali wala haikumdhuru ila alikuwa na Nundu sazi ya Tennis Ball kichwani inasemekana ajali ilikuwa Changa la macho tu
Nyundo Mkononi?!!!.nundu saizi ya Tennis Ball hebu unganisha the Dots
 
We kengemjusi mleta mada jiulize hao unaodai walitaka afe ndo waliomkimbiza Nairobi kuokoa maisha yake ilihali hao unaotetea walikataa hata kumlipia matibabu. Kengebluu kabisa
 
Sinema yoyote ile anaeitwa stering ikitokea akafa ujue sinema ndo imefikia mwisho..hii sinema bado inaendelea tuache iendelee....tutajua mwisho wake tu...
Japo mambo ni mengi, acha tuchague ya kujiuliza!

Wana Bodi ni hivi; nakumbuka mwaka ule Chacha Wangwe alipopata ajali na kufariki papo hapo swali kubwa lilikuwa ilikuwaje katika ajali kama ile dereva bwana Mallya hakupata hata mchubuko. Ni kutokana na mtanziko huo viongozi wa Chadema walisisitiza lazima Mallya ashtakiwe, waliamini kuwa kifo cha Wangwe hakikutokana na ajali ile bali kupigwa risasi kicha gari kugongeshwa.

Kama nilivyosema, mambo ni mengi. Naomba niulize swali hili. Kwenye shambulizi dhidi ya Lissu ambalo lilitokea Septemba 7, 2017 pale Dodoma suala la dereva limejitokeza tena. Kwa mara nyingine dereva si miongoni mwa waliozulika na shambulio lile. Hakupata hata mchubuko licha ya risasi zaidi ya 38 kupigwa uelekeo ule ule aliokuwepo pamoja na Bosi wake.

Tofauti na tukio la kwanza ambapo viongozi wa CDM walilisitiza kuwa mtuhumiwa nambari moja dereva wa Wangwe lazima ashtakiwe; alishtakiwa na kukutwa hana hatia. Huyu dereva wa Lissu viongozi hawataki aguswe. Nini sababu ya mabadiliko haya licha ya ufanano wa ahusika na matukio.

Yako pia maajabu mengi yanayoambatana na tukio hili la pili, ikiwa ni pamoja na namna ambavyo dereva aliweza kukwepa risasi hata moja huku bosi wake zikimpata 16. Je, hakuwa ndani ya gari? Je, tumuamini Musiba anayedai zile hazikuwa risasi za moto?

Hebu tubaki kwenye hili la madereva kwanza...
1. Katika ajali ya Wangwe dereva hakudhulika hata tone...,
2. Katika shambulio la Lissu dereva hakupata hata mchubuko....

Je, ni bahati ya madereva au matukio ya kupanga? Inakuwaje madereva wote wawili wa viongozi wa juu CDM kuwepo katika matukio makubwa lakini wao hawadhuliki hata tone?

Tusiitane majina mabaya, tujadili kwa kutumia bongo sio rangi za bendera!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom