Ni ubora unaoendana na mahitaji halisi ya Watanzania na imethibitishwa na TBS ya Tanzania na kupigwa nembo ya Tanzania hivyo haviwezi kuuzwa kwenye nchi nyingine zenye mamlaka tofauti za ubora. Kumbuka zinakotenenezewa kuna wakala wa TBS anayehakikisha ubora kuwa vinafaa kutumika na Watanzania , sasa vikishapigwa lebo ya ubora wa tanzania haitapendeza vipelekwe nchi nyingine ijapokuwa bidhaa ni ile ile na ubora ni uleule. Hiyo issue ni ya kawaida sana kwa bidhaa nyingi zinazoingizwa nchini na ambako kuna mwakilishi wa TBS. Hivyo ukiona bidhaa imeandikwa hivyo uwe na imani nayo kwani ni salama na imehakikiwa kwa matumizi ya Mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.