YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 567
Jana nilitaka kufanya muamala kutoka M-PESA kwenda Tigo Pesa ikawa inakataa, mpaka hapo asubuhi ya leo nilipoamua kuwapiga.
wakasema wanatengeneza!
Hayaa, nimeingia leo kuperuzi Facebook nimekutana na tangazo la Tigo nao TIGO PESA yao haipo hewani.
Nimeingia JF nakutana na TTCL nao na huduma yao ya T PESA haipo hewani.
Je, kuna nini hawa wote wanakiboresha?
Au wanakuja na gharama mpya za miamala?
wakasema wanatengeneza!
Hayaa, nimeingia leo kuperuzi Facebook nimekutana na tangazo la Tigo nao TIGO PESA yao haipo hewani.
Nimeingia JF nakutana na TTCL nao na huduma yao ya T PESA haipo hewani.
Je, kuna nini hawa wote wanakiboresha?
Au wanakuja na gharama mpya za miamala?