Kuna nini kinaendelea katika kampuni ya mafuta ya Lake Oil?

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Nasikia malalamiko ya kampuni hii katika mitandao ya kijamii kuhusu hii kampuni ya mafuta ya Lake Oil lakini walalamikaji hawasemi taarifa kamili bali kusema tu mmiliki wa kampuni amekimbia nchi na kukimbilia China na hata anataka kuhamisha kampuni yake kibiashara kwa nchi jirani ya Kenya kisa kutoelewana na baadhi ya Maafisa kutoka Serikalini.

Sasa tatizo ni haya maneno maneno tu ambayo bila ukweli yanaonekana na maneno ya mitaani tu hebu wenye ukweli wenyewe wauweke hapa kila mtu ajue.

Tatizo ni nini kama kweli amekimbia nchi?

Kama kuna tatizo ni tatizo gani hilo katika kampuni?

Kama kweli anahamisha biashara nje ya nchi, sababu ni zipi?
 
Nasikia malalamiko ya kampuni hii katika mitandao ya kijamii kuhusu hii kampuni ya mafuta ya Lake Oli lakini walalamikaji hawasemi taarifa kamili bali kusema tu mmiliki wa kampuni amekimbia nchi na kukimbilia china na hata anataka kuamisha kampuni yake kibiashara kwa nchi jirani ya Kenya kisa kutoelewana na baadhi ya maafisa kutoka serikalini.

Sasa tatizo ni haya maneno maneno tu ambayo bila ukweli yanaonekana na maneno ya mitaani tu ...hebu wenye ukweli wenyewe wauweke hapa kila mtu ajue.

Tatizo ni nini kama kweli amekimbia nchi

Kama kuna tatizo ni tatizo gani hilo ktk kampuni

Kama kweli anahamisha biashara nje ya nchi, sababu ni zipi
 
We mwenyewe umeleta maneno maneno turn hapa. Ilipaswa utuleteee taarifa kamili na si maneno maneno kama hao wengine
 
Unajua Lake oil wamepanua biashara zao mpaka msumbiji,wanafanya vizuri sana,ni moja ya makampuni ya bongo ambayo kwa sasa yanaiyangaza Tanzania vizuri sana.
 
Yap! Nakuunga mkono kabisa si kazi rahisi kabisa. Kuna ishu nafuatilia huko aisee mpaka nimechoka sasa.
Hayo ni mafanikio makubwa,unajua kupenya karika soko la Kenya sio kazi ndogo hata Azam analijua.
 
Nasikia malalamiko ya kampuni hii katika mitandao ya kijamii kuhusu hii kampuni ya mafuta ya Lake Oli lakini walalamikaji hawasemi taarifa kamili bali kusema tu mmiliki wa kampuni amekimbia nchi na kukimbilia china na hata anataka kuamisha kampuni yake kibiashara kwa nchi jirani ya Kenya kisa kutoelewana na baadhi ya maafisa kutoka serikalini.

Sasa tatizo ni haya maneno maneno tu ambayo bila ukweli yanaonekana na maneno ya mitaani tu ...hebu wenye ukweli wenyewe wauweke hapa kila mtu ajue.

Tatizo ni nini kama kweli amekimbia nchi

Kama kuna tatizo ni tatizo gani hilo ktk kampuni

Kama kweli anahamisha biashara nje ya nchi, sababu ni zipi

Wewe kila kitu umesikia kwanin usiseme umemsoma Dada wa Taifa. Hata ule uzi wako wa majeshi ya rwanda kulinda ukuta umesikia.
 
Ali wa lake oil alikula Bata Sana enzi za JK. Sasahivi anaisoma namba. Eti leo hii Ali anaishi kwa kuvizia vizia, ofisin kwake mikocheni pale akiingiaga wafanyakazi wanajificha chini ya meza. AAnyways, muda utaamua
 
Back
Top Bottom