chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,002
Tanzania bado kuna ombwe kubwa tu la uongozi hatujabahatika kuwapata VIONGOZI ila tunao WATAWALA tena tyrant s.
Nashangaa majuha wanaoimba na kupiga vigelegele kuisifu hii awamu ya 5.
Mwananzila amekuwa mbunge wa Kalambo kwa 10 mpaka 2010,sawa sikatai ana mapungufu yake kama binadamu wengine lakini katika kipindi cha ubunge wake kafanya vitu vinaonekana as compared na mbunge wa sasa wa Kalambo ambaye kwanza huwa haishi ndani ya jimbo huwa anaonekana kipindi cha kampeni tu.
Nitashangaa sana hili takataka linalopewa credit na jiwe likichaguliwa tena kuwa mbunge.
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
Nashangaa majuha wanaoimba na kupiga vigelegele kuisifu hii awamu ya 5.
Mwananzila amekuwa mbunge wa Kalambo kwa 10 mpaka 2010,sawa sikatai ana mapungufu yake kama binadamu wengine lakini katika kipindi cha ubunge wake kafanya vitu vinaonekana as compared na mbunge wa sasa wa Kalambo ambaye kwanza huwa haishi ndani ya jimbo huwa anaonekana kipindi cha kampeni tu.
Nitashangaa sana hili takataka linalopewa credit na jiwe likichaguliwa tena kuwa mbunge.
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try