Kuna nini kati ya Dyna Nyange na Kala Jeremiah

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Leo katika Kipindi cha Top 20 cha Clouds FM sijui nini kilimfanya Mtangazaji wa kipindi hicho kumuuliza Dyna Nyange kama anamfahamu Kala Jeremiah, lakini cha Kushangaza Dyna Nyange akasema hamjui msanii huyo na hajawahi kumsikia!

Baada ya mtangazaji na wasikilizaji kumkomalia ndio alipo sema kwani kutokumjua ni dhambi ukweli ni kuwa kala Jeremiah simjui!

Je, kuna nini kati yao? Au ni kweli hamjui..
 
Si hamjui, basi yaishie hapo, sasa we unauliza kwanini unahitaji nini, kwani wewe ni kala, kama kala mwenyewe anajua kama anajulikana ndio apaze sauti
 
Si hamjui, basi yaishie hapo, sasa we unauliza kwanini unahitaji nini, kwani wewe ni kala, kama kala mwenyewe anajua kama anajulikana ndio ana haki ya kupaza sauti, japo naona utakuwa ni uchizi kujibishana
 
Huyo Dyna Nyange ndo huyu
ebf195d004be85ff93465bbce00116b1.jpg
Correct mkuu
Ila nowdays kawa mweupeeeee,nadhani anakunywa maji mengi sana
 
Hawa wanatafuta kiki,eti hamjui wanatafuta kiki waache kutuchezea akili zetu.Dayna Analeta mashauzi halafu anasema amefunga au anawasindikiza waliofunga.Hizi kiki wanazotafuta tumeshawashtukia mapeeeeema
 
Hawa wanatafuta kiki,eti hamjui wanatafuta kiki waache kutuchezea akili zetu.Dayna Analeta mashauzi halafu anasema amefunga au anawasindikiza waliofunga.Hizi kiki wanazotafuta tumeshawashtukia mapeeeeema
Hawa Wasanii walio wengi ni wasindikazaji tu kwenye suala la kufunga....kikubwa nadhani wanafunga kuogopa kusemwa na Jamii.

Utamsikia Msanii anajigamba amefunga, anafuturisha blah blah...alafu hapohapo anaimba (live redioni) wimbo wake wenye neno la matusi 'ama kweli we maku' na wenzake pembeni wanamshangilia (ambao pia wapo kwenye mfungo)
 
Nenda
Leo katika Kipindi cha Top 20 cha claouds FM sijui nini kilimfanya Mtangazi wa kipindi hicho kumuuliza Dyna Nyange kama anamfahau Kala Jeremiah! Lakini cha Kushangaza Dyna Nyange akasema Hamjui msanii huyo na hajawahi kumsikia!

Baada ya mtangazaji na wasikilizaji kumkomalia ndio alipo sema kwani kuto kumjua ni dhambi ukweli ni kuwa kala Jeremiah simjui!

Je kuna nini kati yao? Au ni kweli hamjui
Nenda kwenye biblia kaangalie maana ya kumjua, then utaelewa kwanini kasema hamjui. Soma kitabu cha Mwanzo pale adam alipomjua hawa ikawaje.
 
Back
Top Bottom