Kuna nini kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubelgiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Haki ndiyo itaimarisha uzalendo, Kama wengine wananyanyaswa lazima wataomba msaada kutoka kwingineko hata Kama masharti ya msaada yataathiri nchi,
 

Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Jibu: CHADEMA walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
 
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao

Una maana Magufuli ni kiongozi mzalendo na si ajabu akafutiliwa mbali, au siyo?

You are wrong. Huna macho makini ya kutazama na kuona..

Hakuna viongozi wazalendo ndani ya CCM and they will never be...!!
 
Hao wamekuwa recruited kuwafanyia kazi K.I.S kupitia Kigogo2014 ambaye pia ana deal na fichua Tanzania. Ushahidi ni moja ya document yakiuchunguzi kuhusu uchaguzi. Jiulize kwa nn hakukimbilia nchi nyingine zaid ya hzo!.
Mkuu,
Nyaraka (document) ipi ya kiuchunguzi inayowahusisha, unaweza kututandazia hapa kwenye jamvi?
 
Una maana Magufuli ni kiongozi mzalendo na si ajabu akafutiliwa mbali, au siyo?

You are wrong. Huna macho makini ya kutazama na kuona..

Hakuna viongozi wazalendo ndani ya CCM and they will never be...!!
Uzalendo ni kukimbilia Ulaya na kuwaomba wazungu wakusaidie
You are wrong brother
Narudia tena historia ni mwalimu
 
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Kwanini wasiisaidie Tanzania kumtoa jiwe?
 
Hoja zako ni nzuri na ni sahihi ila nina uhakika somo linaeleweka na linafanyiwa kazi . Yaonyesha kilichokusudiwa kimeshindikana. Nyerere alisema mlinzi wa mtanzania ni mtanzania mwenyewe na hasa mzalendo.
 
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Nasikia wanaitwa washirika wa maendeleo,kumbe sio marafiki zetu?.
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
MUungu ndo ajua
 
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao

Kiongozi mzalendo alikuwa Nyerere tu nchi hii. Wengine wote ni wezi na walevi wa madaraka.
 
Umewahi kujiuliza kwanini?? Rafiki yako akiingilia Maisha yako binafsi na Hadi ya familia yako, Na MKEO kuanza kutoa sifa nzuri za rafiki yako
URAFI HUPUNGUA NA KUPELEKEA KUFA KABISA

Rafiki yako akianza kukuingilia mpaka jinsi unavyoishi na familia yako maana yake umeshindwa kujiongoza. kwa lugha ya mtaani tunasema wewe ni Bwege.
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Maisha magumu Tz, cement sukari havishikiki, kwani wewe upo wapi?
 
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
China ndio rafiki wa Afrika?
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.

Kuna nn nyuma ya pazia Kati ya ccm udikteta, ujamaa na China
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom