Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kujiuliza kwanini?? Rafiki yako akiingilia maisha yako binafsi na hadi ya familia yako na mkeo kuanza kutoa sifa nzuri za rafiki yako..kama siyo rafiki kwanini tuna ofisi za ubalozi ktk nchi hizo?
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Mkuu,Hao wamekuwa recruited kuwafanyia kazi K.I.S kupitia Kigogo2014 ambaye pia ana deal na fichua Tanzania. Ushahidi ni moja ya document yakiuchunguzi kuhusu uchaguzi. Jiulize kwa nn hakukimbilia nchi nyingine zaid ya hzo!.
Uzalendo ni kukimbilia Ulaya na kuwaomba wazungu wakusaidieUna maana Magufuli ni kiongozi mzalendo na si ajabu akafutiliwa mbali, au siyo?
You are wrong. Huna macho makini ya kutazama na kuona..
Hakuna viongozi wazalendo ndani ya CCM and they will never be...!!
Kwanini wasiisaidie Tanzania kumtoa jiwe?Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Nasikia wanaitwa washirika wa maendeleo,kumbe sio marafiki zetu?.Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Niliikuta Twitter imepostiwa na mwandishi mmoja kutoka Kenya hebu niicheki then nikutandazieMkuu,
Nyaraka (document) ipi ya kiuchunguzi inayowahusisha, unaweza kututandazia hapa kwenye jamvi?
MUungu ndo ajuaWakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Unaaakili Sana akkjbu nitagWhy hukuuliza kuna nini Kati ya CCM
Usalama wa Taifa na tume ya uchaguzi?
Umewahi kujiuliza kwanini?? Rafiki yako akiingilia Maisha yako binafsi na Hadi ya familia yako, Na MKEO kuanza kutoa sifa nzuri za rafiki yako
URAFI HUPUNGUA NA KUPELEKEA KUFA KABISA
Maisha magumu Tz, cement sukari havishikiki, kwani wewe upo wapi?Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
China ndio rafiki wa Afrika?Historia NI mwalimu hizo Nchi zote zilizomsindikiza Lissu hazijawahi na hazitowahi kuwa Rafiki WA Afrika
Zinanufaika Hadi Kesho kutwa na Africa kwa kuwaondoa viongozi WA kiafrika wenye Uzalendo na waafrika
Kwa kuwatumia waafrika Kama Lissu kufanikisha matakwa yao
Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Jengea topeMaisha magumu Tz, cement sukari havishikiki, kwani wewe upo wapi?