Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,826
- 5,053
Unafaa kwa kusitiri wanawake tu, au yote yaliyomo kwenye Sharia?Mwanamke anapaswa kujistiri.. huu utawala wa taleban naona unafaa sana kwa dunia ya sasa ilojaa udhalimu na matendo yasio kua na staha..